min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Pole kwako wewe pia.Pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwako wewe pia.Pole sana
Mdogo wangu vipi? Uko poaINAUZWA - Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo
Tuna bidhaa za majumbani na ofisini tupo Kariakoo Msimbazi karibu na DDC hall (manyema St.) tuna fanya free delivery ndani ya Dar es Salaam pia tuna tuma mikoa yote Tanzania kwa umakini ulio tukuka karibu ujiunge na familia ya nafuu electronics ufurahie huduma bora na zenye uhakika. Kwetu mteja...www.jamiiforums.com
Limbukeni wa pesa huyo DogoJana jioni nilikuwa nafanya mazoezi(jogging) nikapita barabara moja kuna ghorofa linajengwa.
Nikasikia kijana mmoja (27-30yr) anafoka na kutukana kwenye simu.
'WEWE MZEE SIKU YA PILI LEO NAFIKA HAPA UMEACHA LINDO. HUO UZEE WAKO MIAKA 70 ISIWE KIGEZO KUTUSUMBUA. KAMA ULITUMIA HELA ZAKO VIBAYA UJANANI USITULETEE... Duh nilishtuka sana nikaishia zangu.
Aisee inawezekana kweli mzee kakosea ila kuna njia nzuri ya kuongea na mtu mzima au mfanyakazi wako na sio lugha kama hizo. Kijana mdogo namna ile kumtukana mzee ambae anaweza kuwa baba au babu yake si sawa. Kuna laana nyingine za kujitakia. Vijana kuweni na busara.
Ni kweli Mkuu, kwakweli Vijana ambao ni Wazee watarajiwa wajiandae sana.Hata mimi nilifikiria hivi. Huko mbeleni vijana hawajali una umri gani ila una uchumi gani.
Unajua je kama sisi ni wadogoKama mimi natukwana na vijana wadogo kila inapoitwa leo ,😊😊
Hakuna mkubwa na akili imepevuka akatukanaUnajua je kama sisi ni wadogo
Mbona kwenye siasa wanatukana na ni wakubwaHakuna mkubwa na akili imepevuka akatukana
Hao kenge ndio unawaita wakubwaa?Mbona kwenye siasa wanatukana na ni wakubwa
tatizo linaanzia hapo kwenye boldHao kenge ndio unawaita wakubwaa?
Majibu mengi niliyosoma humu nimeona kweli generations zinatofautiana sana.Acha wazee watukanwe kwa uzembe wao wa kutafuta maisha.eti nlikutana na mzee nikiwa lindo miaka hiyo na e mlinzi katika pigapiga story akaniambia alikua polisi baada ya kustaafu pesa ikaisha akapigika ndo kuja kampuni za ulinzi.tukiwa lindoni mzee story zake ni wanawake na kunyanduani enzi ana nguvu zake.mzee kama huyk ukitukana si ni sawa tu
Vijana mna moto sana.Ha ha ha tu field ofisa twa kampuni za ulinzi waga vinajikuta sana.utafokiri wao ndo wamekuajiri utasokia ntakufukuzisha kazi.wee kuna mmoja alizingua nliwaka mpaka akajaa akataka anivae nkamwambia ntakupasua vibaya mno sinyenyekei kazi ntakupiga pr 24 nivunjee mguu ili nkafukuzwe vizuri nikikuacha na kirema
Ni watoto wetu tunaishi nao hvo hvo taratibu wataacha na watakua vijana wemaHata humu jf, vijana wa gen Z wanatoa matusi hadi kwa wazee wao.
😀😀😀😀Kuna hawa kataa ndoa ndio zao kutusema vibaya wazee, utaskia kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu.