Nini weweeHacha ndo nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini weweeHacha ndo nini!
Hahaha baby face banaKwahiyo unataka kusema ajira zipo bwerere sio?
Watu mkishapata vikazi na kulipwa laki 5 mnaanza kudharau wengine!
Ila Nuzulati unao?Sina muda wa kumu aminisha nusu albinoo 🤒
Kwahiyo unasubiri hadi mwanao awe kijana mkubwa ndo uanze kumkanya?Mkuu; Hapo ndo patamu. Hivi unathubutuje kujipa jukumu la kumkanya kijana asijiingize huko? Unapenda utukanwe na vijana mchana kweupe? e.g hebu soma comment #2,3,5 n.k.
Halafu ingefaa ulione hili tatizo kwa mapana yake. Halipo specific kwenye bangi, madawa ya kulevya au vijana tuu. Ni multi-sectoral issue. Wazee, ambao ndo ilitegemewa wawe ndo watoa miongozo na wadhibiti wa Nidhamu cku hizi wamejivua jukumu hilo na wanasema "Acha wafu wazike wafu wao...... Haliwahusu" Serikali ambayo ndo # 1 kuhakikisha mustakabali wa Ustawi wa Jamii ndani ya nchi, yenyewe imejitoa ufahamu na kuachia mambo yaende kama yanavyoenda - Hakuna uwajibikaji hata ule wa saizi ya punje ya haradali.
Wananchi kwa ujumla wao (watoto, watu wazima na wazee) wanakula vitu fake mitaani hadi mafuta ya Transfoma, wanapata madawa substandard / fake huko hospitali, pharmacies vipimo fake maabara n.k. Serikali imejikita kwenye kukusanya(Maokoto) bila kumjali huyo anayetozwa, Uwepo wa nishati e.g. umeme ili kuwezesha utendaji n.k.n.k. ... yupo mwandishi mmoja alishindwa kuendelea kufikiri zaidi akaishia kusema tazama kila kitu "ni Ubatili mtupu...." Biblia, Mhu. 1:2.
Mwezi tu, tumia hata muda wote wa maisha yako.Nuzulati ni special kwangu🤗, nita Tumia hata mwezi mzima 😃
kaaa mbali na sisi nusu albinoo 😃Mwezi tu, tumia hata muda wote wa maisha yako.
Usinitishe au niharibu sherehe?kaaa mbali na sisi nusu albinoo 😃
endelea kuchezea mkia wa simbaaUsinitishe au niharibu sherehe?
Sitishiki we endelea niharibu ratibaendelea kuchezea mkia wa simbaa
Nita kuja niku vunjeee kiuno, muheshimu shemeji yakoSitishiki we endelea niharibu ratiba
Sijamvunjia heshimaNita kuja niku vunjeee kiuno, muheshimu shemeji yako
Sasa una sema uta haribu nini??Sijamvunjia heshima
ShereheSasa una sema uta haribu nini??
Sherehe gani Tena??Sherehe
Tulia uone we komaa na hilo jina lakoSherehe gani Tena??