Vijana mliopo A-level: Technique rahisi nilizotumia kupiga Division One ya 3 form six bila kukesha darasani

Kuna jamaa tulikuwa naye PCM aisee balaa; tangu form five sikuwahi kuona anaandika notice; yeye alikuwa na makaratasi tu anaandika mambo yake mwingine huelewi kitu. Hasomi kazi yake ni kuzunguka kwa room za wenzake kupiga soga. Ukishidwa swali nenda kwake anaku solvia fastaa ka machine; jamaa aliondoka na point tatu.

Akili inatokana na genetic ya ukoo; hizi zetu za kuungaungaa aisee unahangaika sana.
 
Ndo maana nikiona mtu anaandika mambo ya hovyo humu nachukulia poa kua ni lifestyle yake aliyochagua.
Huyo mzee kanikumbusha yule bibi tuliokua tunachat nae kule Kapuku forum huku tukimwita bebi/mrembo/mchumba etc..
Jf ni Imaginary world
yaani huko nako ni balaa, bibi mwenye wajukuu wake but alikuwa na nidhamu sana
 
Dogo, thid is one of the best advice i ever come across, huu ushauri wako madogo wakiufuata watafika mbali sana,

Achana na hao wanaopenda kukosoa kila kitu, by the way, naamini uko mbali sana zaidi yao kiakili, so stop arguing na hao watu for no reason, you are just wasting your precious time.

Mimi ningepata this kinda advice wakati nasoma A -Level, nadhani ningepata 1 point 3, ingawa nilifaulu vizuri sana PCM ingawa nilitumia guvu zaidi na kupata scholaship ya kusoma nje na kupata Degree yangu ya kwanza ya Engineering.

Hayo uliyoandika yanadhihirisha how brilliant you are, na ndio una demonstrate wewe kuwa asset, kwamba unatumika kuongeza value kwa wadogo zako waweze kufaulu vizuri.
 

I can feel your pain.. Pole mkuu ndio maisha.
 
What an inspiring, motivational thread! I am sure this will be of use to those "A level students" who are serious with their education. Good job CCNP Engineer !

Kindly ignore those losers who attacks you with their cheap comments simply because they didn't make it to the top. What they have written reveals their jealous and hatred towards the learned! Don't argue with them, let them spew their venom of ignorance and stupidity.
 
Halafu nimegundua waliofeli wengi wako inferior, always wanakuja kuwatafuta waliofaulu shule huko mbele ya safari ili tu wajikompee. Ila huyu jamaa sijui malengo yake yalikua nini lakini kwa ufaulu wake angepata mwongozo akaomba scholarship USA au EUROPE angezamia huko huko kwa kukimbiza. Anyway kila mtu na maamuzi yake.
 
[emoji23]hapo kwenye kutapeliwa unanichekesha sana
Kweli jamaa alizingua

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 

Ha ha ha ha,,, Jamaa punguza kusema ukweli basi
 
Nna jamaa yangu alikuwa TO ila yuko kitaa magomeni kapanga chumba kimoja akipiga mapindi. Kusoma na kupata maksi kubwa bila kuwa na akili za kitaa utaishia kunung'unika moyoni ... AAA zisizokusaidia ni kazi Bure
 
Kwaio kabla ya kuchangia wanakuuliza umepata A ngapi A level na O level au chuo una GPA ya ngapi au?
 
Daah umenikumbushana mbali sana aisee, ile Organic chemistry nilikua kila nikisoma haikai kichwani, Advanced mathematics ilikua rahisi tuu kwangu, Chemistry daah
All in all nashukuru mungu leo hii ni Civil Engineer ingawa necta ilikua tofauti na mock, mock nilipiga 1 point 7 , necta sasa [emoji28]
 
Uzi huu umenizibitishia ambavyo hekima bila noti, uishia kuzalauliana.

Mleta mada, kwa namna yoyote ile ni kijana smart upstairs.

Kwa nchi za wenzetu vipaji Kama hivi ni lulu na ni asset kubwa na utazamawa kwa jicho la hekima hata kama hana hela.

Ubora wa mtu hauko kwenye uwezo wa kuwa na gari kali au kuishi kwenye mjengo wa maaana

Context za maisha yetu hutofautiana, likewise hata destiny za maisha yetu

Siku za hivi karibuni kuna watu wanaojiita wana elimu ya kitaa na wana make bingo ya maana, hali inayopelekea hata just discourage wasomi.

Kwa bahati nzuri kundi hili ukiri wao ni watu wa mishe, frankly speaking wengi ni watu wasio heshimu maadili, kila aina ya dili regardless itamtaka kuiba, kuua, na hata kufanya ushenzi wowote kisa atapata fedha, yeye ajali kitu. Kinachoangaliwa ni pesa


Vijana smart, wengi walijikuta kwenye mfumo rasmi huu wa kibongo, wamejikuta trapped na mfumo usiojari vipaji na uwezo wa watu katika utumishi na kujikuta ujira wao unapangwa kwa ngazi za mishahara na pengine pasipo kuzingatia ufanisi wao. Ndo maana haishangazi TO anaefanya kazi katika almashauri X kuzidiwa maisha na kilaza mmoja aliajiriwa kwa mchongo wa mjomba BOT Kama afsa manunuzi, lakini ana opportunity kibao za 10 percent kwenye denda za wizara.

Huyu kilaza mtaani ataheshimika sana kuliko smart mind aliyeko almashauri akipigika kusubiri fedha ya OC ili alipwe overtime.

Issues kama hizi zinanilazimisha kuamini tunahitaji kutathimini value of our life. Lazima tuheshimiane kwa kile tunavyoweza ongeza value kwenye maisha ya watu.

Haijalishi kwa kuwa ni mwalimu na mfumo wa kiutumishi ujanipa kipaumbele, unizalau coz siendeshi gari ya maana.
 
Haki ya nani, nilipoona maelezo yako haya imebidi nirudie kumsoma tena Engineer ili nione mahali aliposema "kaajiriwa na serikali"; Walahi sijapaona, eti ni wapi!?
 
Wabongo tuache uchawi, Tajiri unamchukia, Aliyefaulu unamchukia Aliye na nyazfa unamchukia, hv tumerogwa na nani, Weng humu wanapenda wapiga nyeto, Maskin wenzao, Vilaza wenzao, wavuta bangi. Huu ni upuuzi kwaio mnataka wote tufeli maisha? shenz kbsaa bichwa kubwa kumbe limejaa bisi na mabunda, mnakera sana.
 
kumbe mie kichwa sana!mie mambo yote nilikuwa namalizia pale darasani.nilikuwa sisomi tena wala ku solve chochote baada ya muda wa darasani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…