Vijana mliozaliwa Miaka ya 90 naomba mpite hapa Kuna ujumbe wenu

Nyie mlio pata uhuru mwaka 61 mpka mwaka 90s hamna cha maana
 
hao walio zaliwa mwaka ambao nyerere anakufa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ au basiπŸ™Œ
 
mbona wenye mema tupo, mnaona wabaya tu?
 
Kuna siku niliokota wallet ya kijana wa 90 nikakutana na vumbi la kongo, hyo ni sign ya kwamba vijana hawana uwezo... Mi mke wangu nikiskia amechepuka na Hawa vijana siwez kuumia maana najua huko faragha walikua wanapiga stori za mapenzi tu
pole sana mkuu
 
πŸ˜‚
 
We ni kizazi Gani mkuu?kama ni Hawa Gen Z tunajua Akili zenu zimeungua tangu kuzaliwa,ila kama ni wale wa stone age,kwendra zako maana tuliskia mlichambia vibunzi,kizaz Cha 90 kiheshimiwe kimefanya Makubwa nchi hii
 
Wewe si ndio baba zako tisini tulikua teenager,
We utakua ulikua kwenye korodani za wazazi wako.
Na haondoki mtu hapa mjini.
Nyumba za ulisi zetu,
Mama yako tunammiliki,

Ubwabwa upo we kitokolo ulete nongwa.
Tunaweza pia kutangaza dau upelekwe guangzhou huko
Mwili wako watengeneze sausage maana ukizarau wazazi,we pia huna maana
 
Kwani Kati ya anaerogwa na anaeroga yupi anaepaswa kumkimbia mwenzie,pumbavu zenu mazee ndo mafisadi na mafataki,nyie mkafie tu huko mnatuchafulia dunia
 

Umalaya, ufuska, na kila aina ya uchafu ulikuwepo toka hata hao watoto wa 90s unaowazungumzia hawajazaliwa.
 
Asilimia kubwa ya kizazi Cha 90 wengi wanajifanya wamezaliwa 2000. Reference nenda tinder au badoo angalia walio kwenye huo mri utagundua wengi wao ni vikongwe vya 90 ila vimeamua kuwachafulia wa 2000

Wewe nae ni muhuni tu huko badoo unafanya nini hao wa 90 wakiondoka duniani na wewe tafuta pa kwenda Maana elements ni zile zile. Kerbu wewe!
 
Mbona unasound kama mtu wa visiwani, kama sio mjini magharibi basi Chakechake, anyway ujumbe una vipengele vyake kuwahusisha watu wa 90 ilhali wote wanahusika kwa ujumla
 
🀣🀣🀣
Jamaa anazuga.
Kumbe anawish arudie ujana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…