The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huyo ni mvulana,usimpandishe na kumuweka kwenye kundi la wanaume,Wanaume wa siku hizi Mhhhhh.
Wanaume hatupo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mvulana,usimpandishe na kumuweka kwenye kundi la wanaume,Wanaume wa siku hizi Mhhhhh.
Jibu zuri kabisaHuyo ni mvulana,usimpandishe na kumuweka kwenye kundi la wanaume,
Wanaume hatupo hivyo.
Dar mama Hilo [emoji81][emoji58][emoji3467]Wanasumbua sana halafu waharibifu Kuna dogo kazaa na wanawake watatu mpaka saizi yaani ana watoto watatu kwa wanawake watatu wakati huo kula yake mwenyewe inamshinda
Kama Mwanaume aliyekamilika hapendi ndevu si kuna Vichocheo vya Kike vinamsumbua.. Angekuw wa Kike ningesema labda ana Dalili za Mimba changa.Mwanaume unaanzaje kufatilia mambo ya mwanaume mwenzako...
Tena asubuhi hii hata chai hujanywa