Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Huna ufahamu wa haya mambo kwa hiyo bora ukae kimya. Kuna watu wanazaliwa na hormones za jinsia tofauti na miili yao. Unakuta mtu ni mwanamke kimwili lakini ni kihisia ni mwanaume. Hili lipo kitaalama na siyo jambo la kubishana.
Speaking of hormones, hebu nitajie hormone moja (na mechanism yake) inayochochea anus ya shoga kutamani kubanguliwa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23] dahh iyo siyo poa mkuu kwa hali ilivyo watu wanavyopenda mtelezo angewapata wengi sana
 
Kipind fulani nikiwa hapa dar mtaa fulani wa uswazi ,palikufa jamaa akasemekana ni punga alikuwa nakaa karibu na ninapokaa aisee walichelewa kuzima ile maiti ilipokuja kutolewa ilikuwa inanuka kinoma wamepulizia madaw mpaka basi
Kuna maiti isiyonuka?

Sijaelewa hapa? Kwamba ushoga umesababisha maiti kunuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…