LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Flexibility kisa kukeshaNina uzoefu so sio propaganda, mara ya kwanza is very consuming but as time goes I nashuka!
E:g Mimi naweza Anza kazi saa 4 usiku mpaka 8, then nalala, Kesho naamka saa 5, then free, mfanyakazi hayupo flexible!
Wanaokesha maofisini hadi sa6 unadhani kesho yake wanakuja sa 2 asbh?.,
Unaweza ingia sa 5 vilevile esp kwa siku ambazo mmetoka kuclear deadline ya kimeo fulani muhimu mfano Year end issues