OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Naona waajiriwa mnatiana moyo huku mkijua maisha yenu ni magumu na mshahara hautoshi, discipline ni kila mahali na siyo kwenye kujiajiri tu. Nyie endeleeni kutoa Muda wenu kwa boss na kumtajirisha huku yeye akiwapangia hela za kuwapa ili mkidhi mahitaji yenu ya kula na kuvaa. 😂😂😂
Stress ziko kila kona na siyo kwenye biashara tu, hivyo iyo "displini" siyo kwenye kujiajiri tu. Biashara mjini ndo zina mapato, mishahara imejaa makato.
Hamjiulizi kwanini 75% ya waliojariwa wana maisha magumu zaidi kuliko waliojiariji?
Biashara yeyote mwanzo lazima iwe ngumu na nguvu nyingi huitajika ili kuipush..ila ikisimama utaona matunda yake, ila ajira kwanzia unaajiriwa hadi unakuja kuacha mwanzo mwisho ni mateso tu hasa ya kifikra na kiuchumi. Siku zote mshahara huwa hautoshi na huo ndo ukweli.
Ajira haitakupa utajiri wowote ule na ndio maana tunaona wazee wengi wakistaafu wanakufa na presha maana hakuna chochote wanachomiliki kwa kuwa waliuza Muda wao mwingi kwa boss huku wakilipwa percent ndogo ya Muda wanaotoa.
Hapa suala ni desiplini na ina apply kote kote kwenye ajira na kujiajiri. Lakini desiplini ya kuajiriwa haitokupa chochote zaidi ya sifa tu kama vile mfanyakazi bora, boss atakupamba na kamshahara kazuri ili aendelee kutumia Muda wako.
Kuna mbinu moja sisi maintaprinyua huwa tunatumia inaitwa "teka moyo wake mwachie akili yake" hahaha hapo mtajiongeza wenyewe, kujiajiri kuna ongeza akili zaidi kuliko izo ajira huwa zinadumaza akili kabisa.
Twende mbele turudi nyuma .."hakuna mtumwa m'baya kama kujiona uko huru"
Stress ziko kila kona na siyo kwenye biashara tu, hivyo iyo "displini" siyo kwenye kujiajiri tu. Biashara mjini ndo zina mapato, mishahara imejaa makato.
Hamjiulizi kwanini 75% ya waliojariwa wana maisha magumu zaidi kuliko waliojiariji?
Biashara yeyote mwanzo lazima iwe ngumu na nguvu nyingi huitajika ili kuipush..ila ikisimama utaona matunda yake, ila ajira kwanzia unaajiriwa hadi unakuja kuacha mwanzo mwisho ni mateso tu hasa ya kifikra na kiuchumi. Siku zote mshahara huwa hautoshi na huo ndo ukweli.
Ajira haitakupa utajiri wowote ule na ndio maana tunaona wazee wengi wakistaafu wanakufa na presha maana hakuna chochote wanachomiliki kwa kuwa waliuza Muda wao mwingi kwa boss huku wakilipwa percent ndogo ya Muda wanaotoa.
Hapa suala ni desiplini na ina apply kote kote kwenye ajira na kujiajiri. Lakini desiplini ya kuajiriwa haitokupa chochote zaidi ya sifa tu kama vile mfanyakazi bora, boss atakupamba na kamshahara kazuri ili aendelee kutumia Muda wako.
Kuna mbinu moja sisi maintaprinyua huwa tunatumia inaitwa "teka moyo wake mwachie akili yake" hahaha hapo mtajiongeza wenyewe, kujiajiri kuna ongeza akili zaidi kuliko izo ajira huwa zinadumaza akili kabisa.
Twende mbele turudi nyuma .."hakuna mtumwa m'baya kama kujiona uko huru"