Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

Mwambie wife ulikua unamtest uone kama anaustahimilivu, pindua meza jidai ulikua unajua kuwa unamtumia yeye ili asilete mbambamba mingi. Hilo suala mbona ni suala dogo tu la kusole na maneno mawili master.
 
Mnamsingizia vitu vingi sana huyo mnyaazi mungu.

Mbona mi nilishawahi kumtumia Mjomba sms ya Mpenzi wangu kimakosa, hapo pia mnyaazi mungu anahusika?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kunamfanyakazi mwenzetu alikua anamtumia demu wake meseji za mahaba akaakosea ikaenda kwa boss ambaye ni mwanaume, mbona palichimbika kesho yake. Boss akagoma kumuelewa mwamba kwamba alikosea kutuma ujumbe akaaanza kumuhisi mwamba kwamba anatabia za kukazwa.
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.

Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Acheni Ujinga na Upumbavu Mwanaume hachungwi na Mwanamke nae hachungwi period.
 
Zipo njia nyingi Sana za kumuumbua msaliti wala usihangaike
 
Hii kesi kwa mwanaume ni kuikataa tu kwamba sio mimi nmeituma labda imejisend tu yenyewe[emoji6][emoji6]
[emoji2][emoji2] Imejisend kutoka wapi? huwa tunawachora sana mnavyokataa wakati ukweli upo peupe. Mimi siku hizi nshaacha kuhangaika mtu ana michepuko shauri zake. Kama mtu mzima anashindwa kujichunga ndio nikaweze mie? Huwa nakaa zangu kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom