Ufisadi ni matokeo ya siasa kuingilia taaluma, na kikundi kidogo kuteka nyanja zote za utawala. Walio nje ya kikundi wanatazama na kushabikia uharifu unaoendelea. Waajiriwa ni kufuata ukanda na pindi wakiharibu wanalindwa.Wapo waliokuwa diaspora na walifanya kazi katika makampuni makubwa. Lakini waliporudi nyumbani na kupata kazi walivurunda vibaya na kuanza ufisadi.
Sisi waafrika ubinfsi ni dna yetu. Wakiwa nje wanafanya vizuri kwa sababu ya mifumo iliyopo na hakuna mwanya wa rushwa. Hakuna njia ya ku shine zaidi ya kupiga kazi!
Lakini hapa nyumbani ni a different ball game!!
Le mutuz umri na mwili vimemtupa mkono...japo anatumia nguvu nyingi sana kubaki madarakani kwa kujichanganya tu na vijana kila mahali.Hahaha! Sawa kaka. Le mutuz naye vipi, maana ni rika la Magufuli lakini mara nyingi huwa naona watu wanamweka kundi la vijana
Malipo makubwa wanayolipwa ni tarakimu kubwa kwa viwango vya kwetu, lakini kwa std ya maisha huko ni mapato ya kawaida. Na ndio maana wapo wanaorudi na kulipa chini ya alicho kuwa anapata, lakini kwa std ya maisha kwetu yanakuwa ni malipo makubwa.Mkuu bandiko lako ni Zuri sana sana
Ila jua jus walio nje Diaspora wengi sio Ma Professor na Ma Dr!
Hawa ma Academicia mkulu ndio anawapenda!
Ila Diaspora wanegeweza kuendesha vema Kabisa Uchumi wetu kama alivyofanya JK kuwaita Diaspora kuongiza Mashirika kama TIC yuke Dada,TPDC Dr.James Mataragio,Rashid badi,Juliet Kairuki sijui,nk nk,
Mi naanza na Haya Mashirika yetu ya Umma yanatakuwa kuongozwa na Diaspora kabisa watu ambao wana Exposure zaidi,
Mashirika kama Tanesco,Nssf,Bandari,Reli,Tpdc hili tayari yupo Diaspora),Tirdo,Tbs nk!
Diaspora wana chama chao ukimpata mmoja ni rahisi kuwafahamu na wengine,
Unaweza kuwatafuta kwanza hao niliokutajia ili wakuunganishe na wenzao halafu wafanyiwe Vetting!
Angalizo achana na Mambo ya Uzalendo Mkuu,
Je kuna Utayari wa Kuwalipa?
Huko walipo inawezekana wakawa wanalipwa hela Nzuri tuu kama Usd $ za Kueleweka tuu Je tupo Tayari kuwalipa kiasi kama hicho?
Hapo umeongea ukweli. Kila kitu kwenye Nchi yetu imekuwa ikitizamwa kisiasa zaidi na si kitaaluma. Kwa mf akitokea Waziri kwenye Wizara fulani anajituma hasa na kujijengea heshimq na umaarufu kwa wale anaowaongoza/kuwatumikia basi Mamlaka za teuzi huanza kufikiri kuwa labda anajijenga kisiasa kwajili ya nafasi za juu za kidiasa. Hivyo kujengewa zengwe litakalomfanya aufyate. Au kupigwa chini haraka.Huyu Hasan Saudin, kwa mujibu wa maelezo hayo, anaeza kufaa TRA... ingawa kwa sasa haina weledi, inaendeshwa kisiasa zaidi
Ndio Mara ya kwanza alishauri timu ya Taifa sio lazima kutumia wachezaji wanaocheza nje ili kupata matokea....juzi kashauri timu ya Taifa ikiwezekana iachene na wachezaji wa Yanga na Simba itafute kwenye timu ndogondogo huko.
Sema jiwe anajua kila kitu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Nafahamu wengi tu hasa walio carlifonia,
Na wengi ni memba wa family akisema mzee wangu lakini kwa maelezo yake huko aliko kachoka sana na siasa chafu za hapa Bongo, hakuna uhuru kabisa katika nchi yetu.
Anamchukia sana Rais wetu.
Kiujumla diaspora hawana hamu na nchi yao, kila kinachoendelea hapa wanaona.
Wanachofanya ni kusaidia familia zao huku basi na sio nchi
1)Unajua kwanini akina. Lema na Lissu wameomba ukimbizi ng'ambo huko?Mkuu samahani kwa faida ya Jukwaa
1.Kwanini anasema hakuna Uhuru?
Unaweza toa mifano?au uhuru sawa na Huko walipo?
2.Kwanini anamchukia Raisi wetu?
na huu ndio ukweli. huko vijijini kuna watu wanavipaji ila hawatumikiNdio Mara ya kwanza alishauri timu ya Taifa sio lazima kutumia wachezaji wanaocheza nje ili kupata matokea....juzi kashauri timu ya Taifa ikiwezekana iachene na wachezaji wa Yanga na Simba itafute kwenye timu ndogondogo huko.
Sema jiwe anajua kila kitu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mm kaliba yangu sitaweza kuificha km ni white nitasema ni white hata nilazimishwe ni blackWazo lako hukutafakari zaidi kabla ya kuliwakilisha. Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kukubali kuacha shughuli yake yenye future kuja kuitikia teuzi ambayo hawezi tumia weledi wake. Teuzi za nchi za dunia ya tatu ni kutekeleza lile uonalo aliekuteua atafurahi, hata kama ni kuwavua nguo watoto wa kike na kuwakagua kama wanavaa chupi, na kuwacharaza mboko wale ambao hawakuvaa.
Wanadamu tunapishana pia katika Kumjua huyu ni Mwerevu au Juha na huenda unayemwona Wewe Mwerevu mno Kwangu akawa ni Juha sana.Vijana ndani ya hili taifa tumemuangusha rais Magufuli katiba utekelezaji. Wengi waliopewa madaraka wamelewa na kuharibu. Mfano mzuri ni Makonda, January, Nape, Jerry Silaa, Kigwangalla na wengineo. Mimi mwenyewe nilitumbuliwa NSSF na niko bench hadi sasa ingawa nafanya biashara zangu.
Napenda kuwaasa wanakujwaa la JF kupendekeza majina ya wadau hasa vijana vichwa walio nje ya Nchi ambao wanaweza kuwa na manufaa makubwa kwa taifa la Tanzania. Naomba majina 10 tu ya vijana walio na nafasi kubwa nchi za nje na wenye uwezo mkubwa ambao wanaweza kuchangia katika maendeleo ya haraka. Elimu, Uchumi, Teknolojia, Tiba na Kilimo.
Mmi kwa Upande Wangu wakwanza kabisa, nampendekeza.
1. Hasan Saudin (US-Blogger) kwa wana mitandao, huyu Jamaa ni kichwa haswaa. Huyu kijana siyo wa kawaida. Huyu ndio mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kijana mmoja aliyetusumbua sana kwenye mitandao ambaye anafanya kazi kwenye taasisi za fedha huko Marekani (Bank of America) kama sikosei. Mwana Bloga Michuzi anaweza kutusaidia kupata jina lake au LEMUTUZZ.
Hassan kama sikosei ni mchumi na anafanya kazi na State ya Georgia nchini Marekani kama Mchumi. Huyu kijana yuko vizuri kichwani na michango yake yanaweza kuwa ya faida kubwa sana kwa taifa la Tanzania. Nampendekeza wakwanza Kabisa.
Nitachukua majina kutona na michango yenu.
Mimi wanipe kitengo cha wizara ya fedha
Kabisa naunga mkono Kigogo atatufaa sana maana kutakuwa hamna kufichana kila kitu hadharani kila mtu aonekigogo atatufaa sana
Yani wewe kila unachoandika ni shetani tupu, kama tundu la nanii (aka kamanda msaliti)Nachukiaga sana jitu lazima litaje neno "kijana" kama ni sifa meritocratic ya uwezo wa leadership
Ukiona jitu linataja sana "ujana" ujue linaficha madhaifu yake
We dont even wanna know you goddamn age
Unaweza kuweka zulia dunia nzima, ili mguu wako usikanyage ardhi.Vijana ndani ya hili taifa tumemuangusha rais Magufuli katiba utekelezaji. Wengi waliopewa madaraka wamelewa na kuharibu. Mfano mzuri ni Makonda, January, Nape, Jerry Silaa, Kigwangalla na wengineo. Mimi mwenyewe nilitumbuliwa NSSF na niko bench hadi sasa ingawa nafanya biashara zangu.
Napenda kuwaasa wanakujwaa la JF kupendekeza majina ya wadau hasa vijana vichwa walio nje ya Nchi ambao wanaweza kuwa na manufaa makubwa kwa taifa la Tanzania. Naomba majina 10 tu ya vijana walio na nafasi kubwa nchi za nje na wenye uwezo mkubwa ambao wanaweza kuchangia katika maendeleo ya haraka. Elimu, Uchumi, Teknolojia, Tiba na Kilimo.
Mmi kwa Upande Wangu wakwanza kabisa, nampendekeza.
1. Hasan Saudin (US-Blogger) kwa wana mitandao, huyu Jamaa ni kichwa haswaa. Huyu kijana siyo wa kawaida. Huyu ndio mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kijana mmoja aliyetusumbua sana kwenye mitandao ambaye anafanya kazi kwenye taasisi za fedha huko Marekani (Bank of America) kama sikosei. Mwana Bloga Michuzi anaweza kutusaidia kupata jina lake au LEMUTUZZ.
Hassan kama sikosei ni mchumi na anafanya kazi na State ya Georgia nchini Marekani kama Mchumi. Huyu kijana yuko vizuri kichwani na michango yake yanaweza kuwa ya faida kubwa sana kwa taifa la Tanzania. Nampendekeza wakwanza Kabisa.
Nitachukua majina kutona na michango yenu.
Mie anipe ila ya mambo ya nje tu πππMimi wanipe kitengo cha wizara ya fedha
Ntai control kiuweledi kweli
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mkuu ni ngumu sana kufanya kazi kwa weredi awamu hii maana unakuwa huna hakika kama maamuzi yako yatamfurahisha boss. Magu anaingilia sana utendaji kazi wa watu kiasi kwamba anataka wafikili kama anavyofikili yeye hivyo watu wanakuwa wanamsikilizia kuona anataka nini.Kabla ya kufikilia diaspora, mkuu kwanza nikupe pole kwa kutumbuliwa,pili niungane na wewe,kwamba vijana tunaperfom chini ya viwango ,ila sio ,tz inavijana wazuri tu tatizo ni mfumo wa kuwapata vijana katika kutumika nafsi mbali ,ukipatikana tutapata vijana wazuri tu,wapo vijana tz wanauwezo mkubwa sema tu mfumo wa kuwapata ndo mbovu,wanasikika ni wale wenye connection flan flan ali Hali uwezo wao kiungozi hamna kitu,
Note
Elim humuongezea mtu skill kidogo za uongozi ila uongozi ni kipaji Cha kuzaliwa hakiwezi TENGENEZWA na elim