Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uko tayari kuchukua jimbo?Sasa kwa nini haoi warembo wote hawa Town?
Hapana,mimi jimbo langu ni shwariii halina mgogoro natulia naloWewe uko tayari kuchukua jimbo?
Hata na hivyo jamaa ni mkubwa kiumri.Nimekutana na Gerald Hando live hajaweka makeup msibani kwa Dida,niseme amezeeka ghafla.
Naamini ni uchungu wa kufiwa na mke ,upweke unamzeesha.
Ukifiwa na mke usikae zaidi ya miezo sita bila kuoa,sonona itakumaliza
Volunteer kuwa mke wake hata part-timeSasa kwa nini haoi warembo wote hawa Town?
Mambo ni mengi mkuu.Ni mkubwa sawa ila kuzeeka ghafla kunatisha
Nani anataka kuwekwa kwenye grid?Gerald Hando live hajaweka makeup msibani kwa Dida,niseme amezeeka ghafla.
Naamini ni uchungu wa kufiwa na mke ,upweke unamzeesha.
Ukifiwa na mke usikae zaidi ya miezo sita bila kuoa,sonona itakumaliza
Kuna vyakula inawezekana na anavitumia kwa wingi na Kuna vyakula inawezekana havitumii kwa wingi mwisho wa yote kifo kipo pale paleNimekutana na Gerald Hando live hajaweka makeup msibani kwa Dida,niseme amezeeka ghafla.
Naamini ni uchungu wa kufiwa na mke ,upweke unamzeesha.
Ukifiwa na mke usikae zaidi ya miezo sita bila kuoa,sonona itakumaliza
Na amejua kuwa hajapaka make up. Kuna muda sijui kama hata jamaa zangu wamechana nywele au laIla wanaume tumeumbwa tofauti sana sana, yaani kabisa unaanza kumchunguza mwanaume mwenzako kama amezeeka au lah!?