Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mdam wanasema maji hufata mkondo...Uzee ni baraka, mi natamani mshua hata angeishi miaka 50 lakini ndo hivyo aliondoka kbl hata hajanusa 40, dogo nae kamfata mzee mapemaa ngoja nione mie km nitatoboa walau mpaka 80 sio mbaya