Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Tutaonana panapo majaaliwa, usikute tulishaonana basi tu jf inatutenganisha🤣Kuna vijana wa hovyo watakuja kusema mshangazi wa kwenda. Ila natamani sana siku moja tuonane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaonana panapo majaaliwa, usikute tulishaonana basi tu jf inatutenganisha🤣Kuna vijana wa hovyo watakuja kusema mshangazi wa kwenda. Ila natamani sana siku moja tuonane
aIla wanaume tumeumbwa tofauti sana sana, yaani kabisa unaanza kumchunguza mwanaume mwenzako kama amezeeka au lah!?
Grid ya taifaUsikute kweli
Bila picha umbea tu huu.Gerald Hando live hajaweka makeup msibani kwa Dida,niseme amezeeka ghafla.
Naamini ni uchungu wa kufiwa na mke ,upweke unamzeesha.
Ukifiwa na mke usikae zaidi ya miezo sita bila kuoa,sonona itakumaliza
Vijana wa Pdydy watakwambia Kataa ndoa.Gerald Hando live hajaweka makeup msibani kwa Dida,niseme amezeeka ghafla.
Naamini ni uchungu wa kufiwa na mke ,upweke unamzeesha.
Ukifiwa na mke usikae zaidi ya miezo sita bila kuoa,sonona itakumaliza
Mi zimeanza tangu nilipokuwa na miaka 26, huyo dogo amefariki na 31 lakini kichwani zilishazagaa kama mtu mwenye 60-70, inategemea na ukoo labdaNje ya mada. Hivi mvi huwa kuna some cases ikifika muda zinatoweka kwa muda? Mimi zilianza kutoka nikiwa na 38 years hivi, kwa kuwa nilijiona bado kijana nikawa naweka piko. Baada ya kuvuka 40 nikaona ni utumwa, nikaacha kuweka niziachie. Lakini ajabu ni kwamba hazitokei tena kwa sasa
AminaTutaonana panapo majaaliwa, usikute tulishaonana basi tu jf inatutenganisha🤣
Kinachozeesha haraka sio ndoa ila ni matukio ndani ya ndoa hatarii sana.Kipi kinazeesha zaidi?
Upweke ama kugundua mtoto uliyemlea miaka 20+ sio wako?
KATAA NDOA,
TUNZA KIBUNDA CHAKO.
Mi zimeanza tangu nilipokuwa na miaka 26, huyo dogo amefariki na 31 lakini kichwani zilishazagaa kama mtu mwenye 60-70, inategemea na ukoo labda
Kinachozeesha haraka sio ndoa ila ni matukio ndani ya ndoa hatarii sana.
SI unajua umhimu wa kitu kikiwa hakipoSasa kwa nini haoi warembo wote hawa Town?
Uzee ni lazima bingwa, halafu unavyokubamba unaweza bishi, maana umri unasogea kwa kasi ya kipanga.Naogopa kuzeeka, Mungu anitie nguvu.....
Hakika,akiwepo unamchukulia poa asipokuwepo moyo unahangaikaSI unajua umhimu wa kitu kikiwa hakipo
Kikiwepo unaona km kinakuzibia hivi.suddenly unagundua ulikuwa unajodanganya
Sasa mimi namtaka huyo Hando?kwanza nakutana nae wapi?ni hivi,nilitaka tu kukumbusha umuhimu wa ku spare maneno kuliko kuona mtu mwenye ugonjwa fulani ndio atatangulia kufa wewe kwa vile huna huo ugonjwa utaishi hadi uzeeni,Hapana huo ni ufinyu wa mawazo,tanua mawazo yako fahamu kifo ni kwa kila mwenye uhai,na bad enough hatujui siku wala saa na tunaondoka kiana gani ...so just be humble broNdoa inapambaniwa hapa si mchezo😄
Sure,wanaume ni kama watoto wakipata mke anayejielewa hiyo inawaumiza huyo mtu anapoondokaHili la kufiwa na mwenza huwa linamwathiri zaidi mwanaume, check kwa Kingunge na wengineo.