Vijana ni wakati wa kupiga pesa kwenye biashara ya mpunga

Kila mtu kuna namna anavyowaza mafanikio usitukatishe tamaa
 
Porini nenda peke yako mkuu unataka nan akachafuke na kuwashwa na mipunga uko kwa ela ndg iyo ambayo ata konda wa daladala anapata zaidi ya hiyo hahahah
 
Nilichojifunza kuna changamoto nyingi sana ktk kutafuta wapendwa, mfano mi nililima Mara ya kwanza hasara niliyoipata staweza sahau, lakini sikukata tamaaa na niliamni siku nitatoka, ni kweli nililima tena saivi nachekelee nafurahia ukulima Wang, kikubwa usiogope changamoto we pambana ipo siku utatoboza
 
Mkuu umefafanua vyedu mm nimekuelewa nazani hapo chamsingi nikuanza namtaji wagunia 100 wakujaza fuso
 
Mkuu umefafanua vyedu mm nimekuelewa nazani hapo chamsingi nikuanza namtaji wagunia 100 wakujaza fuso
Ukiwa na hiyo pesa utakutana na watu wanakuambia bira uwe na pesa ya fuso mbili ndio utaiona faida wewe anza na mtaji wowote ulio nao hata ukiwa na fiada ndogo ni ya kwako utakuwa tu, vijana wa kitanzania hiyo milioni 60 tunatoa wapi
 
Ngoja tukachukue mitaji finka
 
Ture point
 
Vip kuhusu kununu mpunga afu unauweka na kuja kukoboa na kuuza mchele msimu ambao mchele umepanda bei?
 
Umenichekesha
Mkuu uyu mleta mada alidharau idea yangu ya biashara akaiita ya kitoto nikajua labda analeta mzigo kutoka china na dubai. Kumbe anahangaika maporoni analalia magunia ili tu akatafute mipunga ! Usitukane watu wakat unaish kwenye nyumba ya vioo. Kila la kheri huko poroni kwenye kusaka mipunga.
 
Mkuu kumbuka hiyo laki tatu hujatoa matumizi na bado kama umepanga bado kodi
 

Very true, mie nimeifanya kwa msimu mmoja na changamoto ndo kama alivyosema Swahiba. Yabidi mtu ujipange haswa na uwe na mtaji wa kutosha ili uweze ona faida yake
 
Very true, mie nimeifanya kwa msimu mmoja na changamoto ndo kama alivyosema Swahiba. Yabidi mtu ujipange haswa na uwe na mtaji wa kutosha ili uweze ona faida yake
Ni kweli mkuu unahitaji kujipanga haswa, mleta mada sijui aliona nan kapiga ela kwenye mipunga ya maporoni akakurupuka kuja kuhamasisha watu humu waende porini bila hata kufanya upembuzi yakinifu!
 
Habari! Mimi ni kijana natafuta kazii ,vibarua any job iwe halalii tuu nikoo dar, mwenye taarifa yoyote ani Pm
 
Reactions: Ok9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…