Vijana ni wakati wa kupiga pesa kwenye biashara ya mpunga

Vijana ni wakati wa kupiga pesa kwenye biashara ya mpunga

Kwenye kupima mpunga siku zote mnunuzi ndo anapimaga mpunga ..usikubali kupimiwa na mwenye mpunga kamwe!
1.!unakua na ndoo yako...lita 20 zilw za rangi .coral paints .chukua mchanga uweke kwa sufuria uchemke kiasi ..ukishapata moto umwage mle kwenye ndoo then funika .! Ndoo itatanuka[emoji4]!..ukiingalia huoni tofauti ila inatanuka ..so ukiweka wewe debe lako moja ndoo inaendelea kudai mpunga...so debe 1 la ndoo y kawaida mle inaingia moja na nusu
Pili kupima mpunga sio unamimina ..usimimine utajipunja!..weka mpunga huku unaitwist ndoo unaizingusha had kitokee kitobo pale kati kadri unavyozidi kuweka endelea kuzungusha ndoo yako mpunga utakuwa unajishindikia .ukifika pale juu mara nyingi huwa no kisado kimoja kinajaza .sasa wataalam wanaweka sado 2! Ukifika pale juu anza kumimina mpunga wako .means unauweka mkononi mwako unaumimina ..pale utaingia mpunga mwingi sana mimina kwa mikono had kiweke kishungi juu..hilo debe ukijalipma kwa ndoo za kwaida ni ndoo 2 kamili...ndo maana unaona mwingine anakuambia kwa kila gunia unapata faida 10000!anakua hajuo kupima! Hizo ni tecnics tu za biashara y mpunga .sema ni wizi kama wizi mwingine!bila hivo mhh
Na
Shuktani boss hapa hivi inatakiwa ndogo za color paint tu
 
Hizi ndoo zilizochakachuliwa nlikua nadhan zinatengenezwaga kiwandan.

Zinauzwaga laki@pc pale k'koo

Nilinunua 6 mwaka juz.

Na Ni kweli kabisa,zinatoa ndoo 2 za kawaida

Hii biashara ya Michele ina Siri nyingi sana

Asante Sana kwa maarifa dada Wangari Maathai
 
Njoo uone kilimo cha mpunga kinavyosababisha vijana wanavyoteketeza pesa mbeya.
Mpunga inalipa ila inahitaji sana discpline ukitaka kujua faida ya zao njoo kipnd cha kilimo na mavuno uone pesa zinavyotumika...
hyo 5000 ya mdau wenzako watoto wadogo tu wanaipata tena kwa masaa
 
Njoo uone kilimo cha mpunga kinavyosababisha vijana wanavyoteketeza pesa mbeya.
Mpunga inalipa ila inahitaji sana discpline ukitaka kujua faida ya zao njoo kipnd cha kilimo na mavuno uone pesa zinavyotumika...
hyo 5000 ya mdau wenzako watoto wadogo tu wanaipata tena kwa masaa
Pande zipi hizo
 
Back
Top Bottom