Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

Mwanamke wa mithali 31

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
1,159
Reaction score
2,577
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Jimbo liko wazi au Lina mtu?
 
Ndoa ni muunganiko wa wahuni wawili wenye malengo mawili tofauti.

Lengo la mume ni kuondoa sugu za upwiru kila alfajiri, na lengo la mke ni kufugwa na kulishwa ili kuepuka jua kali la saa saba.

Hapo katikati kuna msuguano mkali. Mchuano wa kukata na shoka baina ya upwiru na utapeli.

Cc : Binti Kimario Depal
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mtego huu.
 
Yesu alisema,Kizazi hiki ni cha Zinaa na Dhambi.
Ndiyo maana wanapenda zinaa na uasherati mf.akina kataa ndoa na Chaputa members.
Tunakokwenda huenda Wanaume waliooa wakalazimishwa kuongeza wake.
Maana wanawake ambao hawaolewi ni hatari kwa usalama wa ndoa za watu.
Na ndiyo uzinzi unaongezeka!
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mungu hakuwa na mpango na ndoa za sasa ,za utapeli.
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Njoo chember tuongee
 
m
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
m nakusubiri ww apooo mkuu
 
Back
Top Bottom