Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
1 Wakorintho 7:8,9 Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.(BILA KUOA) Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.
 
Ndoa ni muunganiko wa wahuni wawili wenye malengo mawili tofauti.

Lengo la mume ni kuondoa sugu za upwiru kila alfajiri, na lengo la mke ni kufugwa na kulishwa ili kuepuka jua kali la saa saba.

Hapo katikati kuna msuguano mkali. Mchuano wa kukata na shoka baina ya upwiru na utapeli.

Cc : Binti Kimario Depal
Mkuu leo hujataja kijambio, au umepokonywa simu?
 
Nina sababu kama 5,ya kwanza Uhuru,natoka job mapema,napika,nasoma,napumzika,.usiku naangalia Movies Hadi late night,naamka mapema ratiba inaendelea,

Weekends Football tu,home au na washikaji you see?? My time is too short to share,siulizwi why simu imezimwa,uko wapi,na nani,I'm free like a bird,naishi drama,

LESS DRAMA,MORE PEACE,

Napenda kua na Uhuru kama ndege,
Nimekumbuka Movies mbili,

1: The Notebook,
Young Allie anamuuliza Noah "Allie: "Do you think I could've been a bird??

2: Forrest Gump,
Young Jenny anasali "Dear God, Make me a bird so I can fly"

Kiufupi sipe
Nina sababu kama 5,ya kwanza Uhuru,natoka job mapema,napika,nasoma,napumzika,.usiku naangalia Movies Hadi late night,naamka mapema ratiba inaendelea,

Weekends Football tu,home au na washikaji you see?? My time is too short to share,siulizwi why simu imezimwa,uko wapi,na nani,I'm free like a bird,naishi drama,

LESS DRAMA,MORE PEACE,

Napenda kua na Uhuru kama ndege,
Nimekumbuka Movies mbili,

1: The Notebook,
Young Allie anamuuliza Noah "Allie: "Do you think I could've been a bird??

2: Forrest Gump,
Young Jenny anasali "Dear God, Make me a bird so I can fly"

Kiufupi sipendi kubanwa,..hiyo sababu ya kwanza,.
Vzr kama haupo tayari kuuza uhuru wako Kwa mtu umeamua vzr kuliko kumtesa binti wa watu simamia maamuzi yako mkuu upo vzr.
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.


Nione nipate mke au nioe niache zinaa? Maana huku kwenye ndoa sex is never a guarantee.
 
Me nadhani kuoa ni ngumu kutokana na milolongo mirefu ya ndoa za Afrika, ila vijana kwa sasa nawashauri wasiogope kuishi pamoja na wapenzi wao ili wajenge familia na muda ukienda kama mwaka hivi pamoja, basi wakabariki ndoa kanisani. Maana Maisha saivi yana make sense sana kwa vijana wenye majukumu, kusubiri mpaka muoane kwa formality kunachelewesha vijana kuanza kuishi pamoja.
Kingine, vijana msiogope kupambana nje ya Mkoa wa Daslam, mkiona mambo hayaendi mjini, hameni, nendeni kahama huko, Simiyu, Morogoro kapambaneni, kuna Fursa nyingi sana nje ya mkoa wa daslam, msikalie kudalalia simu sinza na makumbusho kama watoto wa mtaani kumbe ni wasomi wazuri kabisa wa UDSM.
 
Mungu hana mke na shetani hana mke, ni kwa nini sisi tuwe na wanawake? Ila tu tumeambiwa tuishi nao kwa kutumia akili.
Naweza kuchangia kwamba hawawote hawana jinsia.
Hivo jalibu kutofautisha.
Mungu sio mwanamke wala mwanaume.
Shetani sio mwanamke wala mwanaume.
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

Methali 25:24 Swahili Revised Union Version (SRUV)

Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Hayo maandiko yanawahusu wale madragon wavuta shisha?
 
Wakorintho 1:7-8 "

"Na sasa nasema kwa wale wasioolewa na kwa wajane. Ingekuwa vizuri kama wangeendelea kuishi bila kuoa au kuolewa"...zingatia bolded texts
‭1 Wakorintho 7:8 BHN‬
[8] Basi, wale ambao hawajaoa na wale walio wajane nawaambia kwamba ni vema kuendelea kuwa kama mimi nilivyo.

 
Wakorintho 1:7-8 "

"Na sasa nasema kwa wale wasioolewa na kwa wajane. Ingekuwa vizuri kama wangeendelea kuishi bila kuoa au kuolewa"...zingatia bolded texts
Mkuu mbona hujamalizia hilo andiko
 
Oaaaaa yaan mm nimekutafutia MKE na bado hutaki
Jamani nataka angalia mpka nikaandika tangazo ila wapi...
Screenshot_20240425-182937_2.jpg
 
Back
Top Bottom