Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Je ishu ya bil gate na mkewe inakuwaje? Pesa bwana sio guarantee ya kupata lifetime partner. Pesa ni nyenzo tu ya ku push na ku meet some basic needs . Uchunguzeni vizuri maslow hierarchy of needs
Naomba nisakafie..Pesa inaweza nunua kitanda cha gharama ila haiwezi nunua usingizi
Mimi nafikiri, kijana anapaswa aoe mke mwenye utii.
Kwa mtazamo wangu, mwanamke akiwa mtii huweza kukava kilakitu kwa uhitaji wa mwanaume.
Nionavyo mimi, mwanaume ndie anapaswa kumpenda mwanamke wake.
Utatumia pesa pia kununua dawa za usingizi ulale raha mustareheNaomba nisakafie..Pesa inaweza nunua kitanda cha gharama ila haiwezi nunua usingizi
hata kitabu kitukufu quran kimeandika hii, ni upofu wetu na kujifanya mabazazi ndiko kunakofanya tutaabike na dunia. adduniya matau huwa laghibu wa lahwu......
Pasipo upendo kuna utii kweli mkuu?Mimi nafikiri, kijana anapaswa aoe mke mwenye utii.
Kwa mtazamo wangu, mwanamke akiwa mtii huweza kukava kilakitu kwa uhitaji wa mwanaume.
Nionavyo mimi, mwanaume ndie anapaswa kumpenda mwanamke wake.
Baada ya miaka mitano...side effcects zake utaziona.Utatumia pesa pia kununua dawa za usingizi ulale raha mustarehe
Katika umri wangu huu,wa miaka kadhaa nimethibitisha pasina shaka Mwanamke hapendi,bali Mwanaume ndio anapenda.
99% ya Wanawake wanaolewa na Wanaume walio tayari kuanza maisha ya ndoa.Mwanamke ataanza kuvutiwa na wewe namna utavyoanza Ku mu care.
Hayo mambo ya Wanawake kupenda mnayaleta nyie Wanaume wa kizazi hiki,ambapo haina justification yoyote.Issue kuu ni maadili-ndugu zetu waarabu wanawake wanachaguliwa Wanaume kama ilivyokuwa zamani huku Afrika but ndoa zao huzisikii zina makando kando mengi maana wanawake wamelelwa katika maadili na wanajua wajibu wao.
Kijana wa kiume tafuta pesa uishi vizuri upate mwanamke ambae hamjatofautiana sana level ya kiuchumi ili uache kujistukia kila mwanamke anafata vihela vyako....
Binti wa kike tafuta hela upendeze angalau mwanaume akikufata asisikie harufu ya njaa na kama ni mwanaume kamili atakuhudumia tu kwa uwezo wake bila kuhisi amechukua nafasi ya baba yako. Hizi tabia za kuomba hela za kodi ya nyumba mara vocha mara sijui hela ya kula ndo mnaonekana wadangaji while ni basic needs unapaswa ujihudimie mwenyewe
changamoto za mapenzi hata masikini wanazo tutafute hela regardless wa kike au kiume.
Ndiomaana tunasisitiza kataa ndoa, ndoa ni uhaini...🤣Pasipo upendo kuna utii kweli mkuu?
na hapo utakuwa unazalisha tatizo lingine. Kumbuka usingizi ni kitu natural mkuuUtatumia pesa pia kununua dawa za usingizi ulale raha mustarehe
Exactly
Nikupe tu taarifa kuna jeuri za aina nyingiNi Kweli.
Unafikiri ni Kwa nini Watu wanalalamika kuwa Mwanamke akipata Pesa anabadilika na kuwa Jeuri?
Jibu ni kuwa, Mwanamke asipokupenda anaweza ku- pretend kuwa ni Mkeo ili apate unafuu wa Maisha (hawa ndio wapo wengi) lakini siku naye kipato kikiongezeka au akija mwenye uwezo zaidi yako, au Yule anayempenda akimfuata ataanza vitimbi mpaka ukome.
Ni rahisi Mwanamke kuishi na Mwanaume asiyempenda kwani ni Wazuri Kwa kuigiza, lakini siku ukifilisika ndio utaimba Hallelujah.
Nikupe tu taarifa kuna jeuri za aina nyingi
1. Jeuri ya asili tu/tabia ila anaficha makucha aolewe regardless ana pesa au hana ila akiwa hana pesa akiipata ndo anafungua makucha yake
2. Jeuri ya kujazwa ujinga na mitandao au watu wanaomzunguka
3. Jeuri ya malipizi, kama mwanaume alikua anamnyanyasa wakati yupo yupo tu iwe kihisia au physically akizipata lazima uone ana kiburi sababu ukimnyanyasa hawezi kuvumulia tena.
All in all kijana achana na theories, tengeneza your own love story, pendana na mtu acha vitu viflow naturally vikiwork haya vikiwa vigumu kiasi cha kutorekebishika sepa.
Humu mtandaoni mnajazana ujinga tu kwa kucopy story za waliofeli
Same photo for both scenarios?!View attachment 2718006kaeni kwa step
YEs same photo.Same photo for both scenarios?!
Ndio baba yangu tajiri unafikiri yupo kiboya boya kama wewe mwanaume ukiwa hauna pesa unakua hauna tofauti na demuBaba yako ni Tajiri alipopendwa na Mama yako?
Ndio utajua kuwa Mimi na wewe Nani anaakili za kitoto.
Koo karibu zote TANZANIA NI fukara na zipo na ndoa alafu wewe unajifanya unaakili
Nakazia ✍️✍️Mimi nafikiri, kijana anapaswa aoe mke mwenye utii.
Kwa mtazamo wangu, mwanamke akiwa mtii huweza kukava kilakitu kwa uhitaji wa mwanaume.
Nionavyo mimi, mwanaume ndie anapaswa kumpenda mwanamke wake.
Acha kujidanganya kijana.....upendo unahitaji kutunzwa ili uendelee kuchanua, usitegemee umnyanyase na kumfanyia vibaya mwenza wako kwa kigezo eti ananipenda hapindui haipo hiyo kizazi hiki.Kikawaida Watibeli ni washindi.
Na hawajifunzi Kwa walioshindwa. Ila wanajifunza jinsi walivyoshinda.
Ndio maana tunatoa hesabu.
Jeuri MTU huzaliwa nayo. Hakuna Jeuri ya malipizi wala Jeuri ya kujazwa ujinga.
MTU hawezi mletea Jeuri MTU anayempenda. Hiyo haipo na haitakuja kutokea