Vijana oeni wanawake wanaowapenda, pesa zako sio chochote ndani ya mapenzi na ndoa

Baba yako ni Tajiri alipopendwa na Mama yako?
Ndio utajua kuwa Mimi na wewe Nani anaakili za kitoto.

Koo karibu zote TANZANIA NI fukara na zipo na ndoa alafu wewe unajifanya unaakili
Kuna watu bongo zao hazijamature kabisa Hawajui huku uswahilini Tena hapahapa Dar Kuna vidume vina ndoa na Walala kwenye mikeka
 
Sa
Sasa hawo wanaotilenda mbn hatuwaone kijana
 
Ila kaa ukijua kuwa binadamu ajawahi kuupenda udhaifu(umaskini) ,vijana tafuteni hela
 
Hao waarabu , wanawake wao wanawacheat tunawaona we unaongea vitu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…