passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Umekataa mfano wa rich dad poor dad?Yaani hapo unamaanisha utapigq nae stori tu.mbona haujamuomba msingi wa biashara unadhani maneno matupu yatakusaidia kufanikiwa?
Au hujaelewa?
Huo ni mfano bora wa kujibu unalouliza, kama ataamua kukuelekeza anaweza akakuulekeza na usijue upo unaelekezwa.
Pointi Hakuna mtu ambaye hajifunzi mkuu.
Au kuelekezwa wewe umeleta masuala ya kujilinganisha off point.
Uzi ulikuwa kama inspirational tu.