Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #61
Mkuu unajidanganya, nawafahamu mpaka wafanyabiashara wanaosomesha watoto wao UK na Marekani kwa kutegemea hizi biashara unazoweza kuzidharau.Nilikuwa nakusubiri hapo tu. Mkuu vijana uliowataja kwenye uzi wako hawana uwezo wa kusomesha hizo shule kidooogo labda feza. Nje ya hapo labda green acres,mbezi beach,st.marry's ambapo kwa sasa hizo shule ni bora za serikali au shule yangu pendwa tegeta zamani kwa sasa ni mzumbe university
Mfano huyo jamaa ambaye ni supplier wa vifaa vya ujenzi kwa sasa mtaji wake upo kwenye bilioni 4+. Yaani ni tajiri kinoma, amejenga mjengo wake pale wilayani ni mzuri kuliko nyumba yoyote iliyopo pale.