Nilikuwa nakusubiri hapo tu. Mkuu vijana uliowataja kwenye uzi wako hawana uwezo wa kusomesha hizo shule kidooogo labda feza. Nje ya hapo labda green acres,mbezi beach,st.marry's ambapo kwa sasa hizo shule ni bora za serikali au shule yangu pendwa tegeta zamani kwa sasa ni mzumbe university