Vijana sahauni kuhusu ajira, wenzenu wanafanikiwa kwenye biashara mbalimbali

Mkuu unajidanganya, nawafahamu mpaka wafanyabiashara wanaosomesha watoto wao UK na Marekani kwa kutegemea hizi biashara unazoweza kuzidharau.

Mfano huyo jamaa ambaye ni supplier wa vifaa vya ujenzi kwa sasa mtaji wake upo kwenye bilioni 4+. Yaani ni tajiri kinoma, amejenga mjengo wake pale wilayani ni mzuri kuliko nyumba yoyote iliyopo pale.
 

Hongera kwao na congrats wale wote ambao wametoka kwa hustling, lakin kuna dark part ambayo hujaisema.

Si wote wanao pita hiyo path wanafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…