Vijana tuendelee kuchukua tahadhari, UKIMWI upo na bado ni hatari

According to Wazungu all viruses wakiingia mwilini mwako unakuwa na dalili Kali za Mafuta na homa...

Kama Corona..
Sasa mimi sijapata dalili yoyote plus hii CORONA bado natamba tu kwa mwaka mzima, hiyo ngoma ganiπŸ˜….

Sema sasahivi hata mwanamke aje amesimama mbele yangu siwezi kumtomba, ile depression niliyopitia kipindi kile ajuaye ni Mungu tu.
 
Acha ubishi kapime
 
WEwe[emoji32][emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji11] utakufa mapema sana
 
Umechezea nyaya za umeme na izo guidlines unazotoa sio 100% zinakuwa na error .Kwa iyo endelea kupima tegemea lolote
 
Hizo guidelines ziko 99.99999% correct. Margin of error hapo ni 0.00001%.

Hakuna kirusi kinaweza kukaa kwenye mwili wa binadamu zaidi ya siku 90 na mwili usi react, hakuna.
Hiyo 0.00001% inabadili kila kitu.Endelea tu kulipa kwa siku 90 sijazo
 
Moto ni wiki mbili tu since contacting it kipimo itaonesha so miez mitatu ni kujiridhisha tu.
Niliponea chupuchupu na nilikua PEP sababu ya hofu tu japo wataalam walinihakikishia kutokana na mazingira niliyokua nayo kuwa niko salama kabisa.(PEP ni uchizi ule aisee,Mungu aniepushe na tamaa nisjeipita ile njia).
NB:Elimu zaidi kuhusu ukimwi inahitajika maeneo mbalimbali.kuna misconceptions nyingi sana kuhusu huu ugonjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…