Sasa mimi sijapata dalili yoyote plus hii CORONA bado natamba tu kwa mwaka mzima, hiyo ngoma ganiπ .According to Wazungu all viruses wakiingia mwilini mwako unakuwa na dalili Kali za Mafuta na homa...
Kama Corona..
ππ au cio wakulungwa tunajikubaliMkuu, siendi kupima.Kutoboa mwaka mzima bila kuugua chochote ni kipimo tosha kwangu.π π π π
Utaupata kupitia mke,wake za watu wanaliwa Sana peku pekuMwezi uliopita nimetimiza mwaka mzima kudinyia ndomu
Nitakuja kuacha nikishajimilikisha jiko
Acha ubishi kapimeKutoboa miaka mitano ukiwa na UKIMWI sio kizembe kama unavyodhani mkuu, sio rahisi kabisa labda sio VVU[emoji28].
Sitaki kabisa kwenda kupima, na miezi 11 ni mingi sana kutoboa bila kuugua ikiwa tayari una maambukizi, kwa namna ambayo huwa nafanya mapenzi sidhani kama mke wangu angetoboa kama ningekuwa na UKIMWI huu ni mwezi wa kumi tangu bumper mimba na kajifungua tu hivi juzi.
Na assume sina UKIMWI. Over
WEwe[emoji32][emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji11] utakufa mapema sanaDaah.. ndomu ni kati ya vitu vya hovyo kabisa kuwahi kugunduliwa na wanasayansi. Yani walishindwa kabisa kupata kitu mbadala ambacho labda mtu atapaka, au hata dawa ya kumeza kuzuia maambukizi? Mimi nikimla mwanamke na ndomu wala hua sihesabu kama nilishatembea nae.
Mkuu acha nife.Acha ubishi kapime
π π πππ au cio wakulungwa tunajikubali
Umechezea nyaya za umeme na izo guidlines unazotoa sio 100% zinakuwa na error .Kwa iyo endelea kupima tegemea loloteKwa hiyo miezi 6 ijayo ni kwa exposure nyingine sio ile ya mwezi wa 5, ile ndio imeisha hivyo ambayo nilimeza PEP.
Wataalamu wengi wanaofanya kazi kwenye masuala ya HIV na hata WHO guidelines zinataka upime baada ya miezi 3 ama siku 90 baada ya exposure kwa ajili ya kujiridhisha tu ila ukweli ni kwamba unaweza kua certain ndani ya wiki chache inategemeana na kipimo ulichotumia ila hivi vya rapid ndio maximum miezi 3.
Watu wengi wana uelewa hafifu kwamba ukimwi unaonekana baada ya miezi 3, huo ni uongo, ukimwi unaonekana ndani ya siku chache sana baada ya maambukizi inategemeana na aina ya kipimo, ila siku 90 ndio guidelines zilizopo za WHO kama confirmatory tu.
Hizo guidelines ziko 99.99999% correct. Margin of error hapo ni 0.00001%.Umechezea nyaya za umeme na izo guidlines unazotoa sio 100% zinakuwa na error .Kwa iyo endelea kupima tegemea lolote
Hiyo 0.00001% inabadili kila kitu.Endelea tu kulipa kwa siku 90 sijazoHizo guidelines ziko 99.99999% correct. Margin of error hapo ni 0.00001%.
Hakuna kirusi kinaweza kukaa kwenye mwili wa binadamu zaidi ya siku 90 na mwili usi react, hakuna.
Jambo la pili lazima ujue aina ya vipimo. PCR inayotoa majibu ndani ya siku 10 ikisema huna huna.Hiyo 0.00001% inabadili kila kitu.Endelea tu kulipa kwa siku 90 sijazo
Acha uoga mkuu, kuna wavaa ndomu wengi sana wameondoka na corona wameacha watu wenye ngwengwe wanakula nyama choma mitaani. Something must kill a man πWEwe[emoji32][emoji1][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji11] utakufa mapema sana
πππππ au cio wakulungwa tunajikubali
ππππ au cio wakulungwa tunajikubali
ππππ au cio wakulungwa tunajikubali
πππ au cio wakulungwa tunajikubali
Nakubaliiπ π π
Moto ni wiki mbili tu since contacting it kipimo itaonesha so miez mitatu ni kujiridhisha tu.Kwa hiyo miezi 6 ijayo ni kwa exposure nyingine sio ile ya mwezi wa 5, ile ndio imeisha hivyo ambayo nilimeza PEP.
Wataalamu wengi wanaofanya kazi kwenye masuala ya HIV na hata WHO guidelines zinataka upime baada ya miezi 3 ama siku 90 baada ya exposure kwa ajili ya kujiridhisha tu ila ukweli ni kwamba unaweza kua certain ndani ya wiki chache inategemeana na kipimo ulichotumia ila hivi vya rapid ndio maximum miezi 3.
Watu wengi wana uelewa hafifu kwamba ukimwi unaonekana baada ya miezi 3, huo ni uongo, ukimwi unaonekana ndani ya siku chache sana baada ya maambukizi inategemeana na aina ya kipimo, ila siku 90 ndio guidelines zilizopo za WHO kama confirmatory tu.
Daadeki..........maana yake hujawahi pima bosi mkubwa au sio?? π€£ π€£ π€£Hapo kipimo kinamaanisha positive au neg?