ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Tusitishane bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aminaaa kubwaaaaaaa!!✌️
nafeel proud sana, maana nimeokoa pesa ambazo zingeteketea kwenye kuunga vikojoleo mubashara
nafeel proud maana situmii Bioline Kit yoyote kukojoa
nafeel proud maana naweza nyuka bao zozote, bila hofu ya michubuko, Gono wala UTI
Homa ya ini unapima hospitali kubwa. unapima kwanza waone km uko fresh.Je una kipimo cha homa za ini ?
Hepatitis B
Hepatitis c
Pia je ina kipimo cha HPV
Kama kungekuwa kuna kupewa Tuzo ya kupata Gono na Kaswende nadhani binafsi ningeichukua na kuendelea kuichukua kila Mwaka / Msimu.Mimi kanuni yangu ni moja, lazima tupime, haijalishi nitatumia condom ama lah lakini lazima tupime.
Jana nimechukua mtoto mzuri innocent kabisa, sio malaya(inawezekana ni malaya underground ) nikampima majibu ndio haya ana kaswende. Hakuamini macho yake.
View attachment 2732945
sasa mbn hakuna haja ya kupima maana unapima kaswende kumbe mtu ana ngoma au unapima ngoma kumbe mwenzio ana kisonono.Mimi kanuni yangu ni moja, lazima tupime, haijalishi nitatumia condom ama lah lakini lazima tupime.
Jana nimechukua mtoto mzuri innocent kabisa, sio malaya(inawezekana ni malaya underground ) nikampima majibu ndio haya ana kaswende. Hakuamini macho yake.
View attachment 2732945
Kipimo cha kijinga sana hiko bora utumie separate kipimo kwa kila ugonjwa. Sio cha kukiamini hiko kidude.Sorryyy....
1. Hivi vipimo vipo mpaka vya STDs?
2. Na kila STD na kipimo chake au vipo vya umoja?
#YNWA
hlf pisikali nyingi sana saivi zina iyo shida ni kwere yaaniShida yangu ni harufu ya ki samaki, hata uwe hauna kaswende, kisonono etc. Ukiwa na kisamaki tu unapoteza qualification za kuendelea na michuano
Kupima ni lazima aisee haijalishi ni mtuwako wasikuzote,watu wengi hawajatulia unaweza wew kujituliza kumbe mwenzio anapuyang tu huko
ntasema kwa saabu izo kaswende, gono hata hiv kwa kiasi fulani unaeza kuziepuka tofauti na ugonjwa kama kansa uo kuepuka ni ngumuMagonjwa ya ngono yanayoua watu wengi. Sio hayo watu wanayoyapima pima
Homa za ini B na C na kansa ya damu, na kansa ya kizazi ndizo zinaua sana watu hapa Tanzania.. zote hizo zinaambukizwa kwa ngono.
Ili watu hawaziongelei.. wanakomaa kupima HIV na hizo gono na kaswende tu
ntasema kwa saabu izo kaswende, gono hata hiv kwa kiasi fulani unaeza kuziepuka tofauti na ugonjwa kama kansa uo kuepuka ni ngumu
Kuuvuka ujana ukiwa salama ni kumshukuru Mungu kuna sehemu tumepita na tumetoka salama mpaka huamini. Na kuna watu wapo very decent ila mistake moja inapita nao.kinga ni muhimu sana
Sio Tu kupima