Vijana tukumbushane, tusisahau kupima, Kaswende, Kisonono viko nje nje

Vijana tukumbushane, tusisahau kupima, Kaswende, Kisonono viko nje nje

Unaweza ukapima majibu yakatoka mkopoa, ila mwezako anachomoka tuu lanchi kidogo anaenda beba mavirusi huko anakuletea na wewe usiku unakula ukizani msosi uko salama kumbe mwezako alisha enda kuinama chapu chapu..

Haya maisha ni Mungu atulinde sana,

Nakumbuka miaka ya nyuma sana nilipima na bint mmoja tukawa sawa baada ya siku mbili nikaenda kufaidi utelezi wake nikiamini upo salama hivyo nilipiga kavu kavu,

kilicho nitokea baada ya siku chache tuu nilijikuta nakojoa mkojo mzito sana kama makamasi huku muogo ukichubuka,

Niliona aibu ila siku msanua manzi nilitoka nje ya mkoa nikaenda kuchek afya kwanza tena asee.. sikuamini majibu mpaka na leo hii ila nilitumikia sindano zangu kadhaa zinazo uma ile mbaya mpaka akili ikanikaa sawa


Baada ya msoto wa sindano kali nilizokua nikiadhibiwa na nesi mmoja pisi kali rangi ya chungwa mtoto mpole haswa nilijikuta naanza kumtamani tamani kishetani shetani .

Yule nesi kuna siku tupo chemba ananiadhibu dozi ya sindano mida ya night hivi nikamuonyesha mjulege kiutani utani nikamuambia ona kichwa runguu alivyo chubuka chubuka akanipa dawa moja yakupaka nyeupe hivi nzito sijui inaitwaje nikajaga kupona kabisa na yule manzi nilimtema hata sikumwambiaga shida ni nini, nilijiambia tuu yeye anajua alichokifanya huko.

Ase nilimtamanigi yule nesi ila niliendagafanyia ziara siku moja hivi ya kimasihara nikajikuta tuu nachukua namba yake aloo mwisho wa siku tukazama hukoo sahivi mtoto wa watu kaolewa ila jama aliye mpata alipata mke mm ilinishinda maana naogopa oa mtu anafanya kazi za night .


Kwahiyo hata ukipima na mwenzako kivipi jua tuu kama nikukuletea atakuletea tuu siku hiyo hiyo..

NI MUNGU ATULINDE BASI.. WANAWAKE NI MICHARUKO SANA
 
Wiki kama mbili nyuma mwanangu mmoja ambaye ni rafiki wa kitambo sana namjua tabia zake na yeye anajua zangu kwenye kuongea akaingiza stori za madem nikamshauri hawa chura wa mjini piga na kinga tukaongea mengi sana juzi kushinda jana kanifuata tena kwa aibu ananionyesha kashaukwaa ana kaswende na imemla vibaya anamalengelenge makubwa kama matatu ikabidi nicheke kwanza maana kapagawa na kabla hajajua alichovya kwa mkewe kwahyo kuna uwezekano kamuambukiza. Sikutaka kumlaumu kwa alivyochanganyikiwa nikampeleka kwa mshkaji wangu ambaye ni doc akampa dawa na maelekezo sasa kimbembe kinakuja kwa wife wake atakwepaje kutofanya mapenzi kwa muda wa wiki mbili mpka tatu na anaanzaje kumtibu mkewe kama amemuambukiza. Tuwe makini jamani mwenye ugonjwa hajulikani lakini linapokukuta na kama unamke inakua balaa zaididoctor anakuambia hayo malengelenge yatapasuka patakua kidonda na hakiponi mpka zipite wiki mbili na muda mwingine kama unamwili usiopona haraka inaenda mpka wiki tatu na bado litabaki kovu jeupe kwa muda mpka liishe ni zaidi ya mwezi na wiki kadhaa sasa nadhani mnaona changamoto anayokwenda kupitia. Nimeshauriana nae anatabia ya kumpeleka wife wake akakae na mama yake akaona ni idea nzuri mpka apone ila kama kamuambukiza mke sijui huo msala anausolve vipi. Tunapopata bahati ya kukumbushana mambo kama haya tuyazingatie sana hakuna mjuaji kwenye ngono na magonjwa yake
Hapo ndio utaona umuhimu wa kuoa mwanamke mbumbumbu.
Kirahisi tu unaongea na dk halafu unamuambia wife twende tukapate Kinga ya erythrocite.
Sasa Hawa wenye form six za PCB sijui unamuambia mkapate Kinga ya kitu gani.
 
Hapo ndio utaona umuhimu wa kuoa mwanamke mbumbumbu.
Kirahisi tu unaongea na dk halafu unamuambia wife twende tukapate Kinga ya erythrocite.
Sasa Hawa wenye form six za PCB sijui unamuambia mkapate Kinga ya kitu gani.
Dah ni kweli ila hata huyo mbumbumbu kuna magonjwa lazima ashtuke imagine hajatoka nje ya ndoa alafu ajikute na ugonjwa kama huo lazima atahisi mume kauleta hatakama hatosema ila ndio mwanzo wa mapenzi kupungua hakuna anependa magonjwa hasa ya ngono yanafanya mtu anawaza kweli alishindwa kutumia kinga sasa kama kaswende imempata ukimwi utamkosa kweli. Na mtu akishafikiria hivyo dah kumrudisha akili akuelewe inakua ngumu sana
 
Hapo ndio utaona umuhimu wa kuoa mwanamke mbumbumbu.
Kirahisi tu unaongea na dk halafu unamuambia wife twende tukapate Kinga ya erythrocite.
Sasa Hawa wenye form six za PCB sijui unamuambia mkapate Kinga ya kitu gani.
Na mbaya zaidi dozi za antibiotic ni siku 14 sasa kinga ya siku 14 sio mchezo sjui utadanganyaje maana hata ukidanganya na kovu utalifichaje mwanamke anajua mumewe umbile lake lipoje leo anakuta kuna vidonda dah lazima awaze na akiomba ushauri lazima wamfungue macho kwamba kunaugonjwa na balaa litaanzia hapo
 
Hapo ndio utaona umuhimu wa kuoa mwanamke mbumbumbu.
Kirahisi tu unaongea na dk halafu unamuambia wife twende tukapate Kinga ya erythrocite.
Sasa Hawa wenye form six za PCB sijui unamuambia mkapate Kinga ya kitu gani.
🤣🤣mkuu sio rahisi kihiivyo km unavosema hapa. aya magonjwa ya zinaa unaweza kukuta unadungwa masindano kadhaa ya mataco hlf yanauma si mchezo hata km uyo mtu ni mbumbumbu lazma atashtuka tu.

sasa kimbembe zaidi mpewe zile PREP za kuzuia ngoma ndani ya masaa 72 za kunywa mwezi mzima. iyo ndoa inafia apo.
 
Sorryyy....
1. Hivi vipimo vipo mpaka vya STDs?
2. Na kila STD na kipimo chake au vipo vya umoja?

#YNWA
Asante Kwa swali zuri nikiwa kama mdau wa afya MWANDAMIZI senior.............

1. Vipimo hujitegemea mfano Kuna UTI, SYPHILIS, GONORRHEA, HIV....E.t.c
Technology imeraisishwa sana currently mpaka Kuna kipimo Cha HIV Kwa kutumia Mate...

2. Kila STD's na kipimo chake
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] nabii anaekaa Mbande Kisewe siyo ?
[emoji1787][emoji1787] mwezi wa pili huu natekeleza ilani yako pesa ya kuhongea nakula vizuri naona kila mdada anasema nme ng'aa usoni kma Black America , alafu ata sina mda nao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787] mwezi wa pili huu natekeleza ilani yako pesa ya kuhongea nakula vizuri naona kila mdada anasema nme ng'aa usoni kma Black America , alafu ata sina mda nao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣 🤣 🤣
maswali machache

1. unatumia mafuta au mate ?
2. kama mafuta, aina gani ?
3. unatumia video, picha au mtu flani kichwani ?
4. unafutia na nini au bafuni ?

ujue ukishamwaga ukitoka nje, KEs zote zinazokatisha unaona ni dada zako
 
Back
Top Bottom