Hii imenitokea muda si mrefu,kama lisaa limepita.Ningeweza andikia uzi wa peke yake lkn ni heri niiweke apa apa ili tujifunze zaidi.
Wiki km mbili kasoro kuna kademu nilikutana nako mitaa fulani,nikakatia sound nikakaachia namba yangu....nikawa nakapigia kakawa dizain km akanikumbuki...nikakaza zaid had tukakutana tena....uku na kule kakataka tuanzishe mahusiano....sasa mm sio mtu wa kuanzisha mahusiano kirahis....ila kiukweli nilikapenda fulani hvi....nikasema aka katakuwa kananipoza maana nilikakubali kiaina na kenyewe kakaonekana kunikubali....basi nikawa navuta tu muda km kawaida yangu uku tukiendelea kuwasiliana na kuonana mara moja moja.....jana mida ya jion kakanipigia simu kuwa kanataka game....nikapotezea coz sipigagi game kizembe na nilikua na issue zangu,nikamwambia tutacheki kesho ambayo ni leo.
Toka asubuh akawa ananipigia,nikakaambia nitakachek...nilivyotoka jion kwenye mizunguko yangu nikakachek,nikamfata tukakaa sehem tia story 2/3 and then tukafanye yetu ingawa roho yangu ilikua inagoma,nikajua maybe ni kawaida yangu maana mm ni mtu wa kujivuta kwenye hv vitu.
Sasa kipindi cha nyuma wakat tunawekana sawa nilikaambia upo tayari kupima kakakubal yupo tayar na mm nikapata moyo hyu tutaenda sawa.Sasa leo asubuh nikakutana na huu uzi kwa hyo nikapata upepo zaidi wa kumpima.So nilivyotoka kwenye issue zangu nikanunua kipimo n thn wakat tumekaa tunapiga story nikamwambia leo tutapima,wala hakuwa na shida akaniambia poa.Baada ya kujivuta sana nikasema ngoja tu nilimalize hili suala leo.
Tumeingia maeneo demu hakuweka resistance kivile ya kupima ingawa alikua anaonekana kutokuwa na uhakika na mm nikamwambia sio lazima kama moyo wako hautak.Bahat nzuri akakubali,akapima ila nilichokutana nacho ni hko kwenye picha hyo.
Kiukweli kuweni makini sana maana huwez jua na katoto kazuri kweli na kanaonekana ni fundi.
Ila game nilipiga ile ya kuibia/kitahadhari maana nilikuwa nishalipa hela yangu lodge sasa itaendaje bure....nilivaa ndom maswali yasiwe mengi.