All for love
Member
- Mar 21, 2023
- 99
- 278
ndivyo maisha yalivyo, kuna watu ni waaminifu sana ila wanayokutana nayo kwenye mapenzi yanawavuruga jumla, magonjwa ya zinaa hayanaga huruma hata kidogo. Ni mbaya sana kupima kwa machoKuuvuka ujana ukiwa salama ni kumshukuru Mungu kuna sehemu tumepita na tumetoka salama mpaka huamini. Na kuna watu wapo very decent ila mistake moja inapita nao.
#KinganiMuhimu