Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu una umri gani so far?
Nilivyokua mdogo walikua wanatuita enchamu...
Ila kadri umri unaenda na maisha kupigika hayo mambo unasahau kabsa na sura inakua serious na kutake uhalisia wa mwanaume.
Sasa kama una majukumu halafu bado unawaza sura, yani ndio inakupa kula either ni MARIOOO au NCHICHA MWIBA hauchomi wala hauumi wenyewe ni mboga tamu inaongeza damu...
Boraa umuambie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana huo ni mtazamo wa ugly man tu Hata mashoga wenye sura mbaya wapo
Wizoooo, mbonaa km una kitu, hebu sema tena.Kweli uhandsome ni jambo zuri lakini hauna maana yoyote katika maisha halisi.
Utaishia kuliwa matako tu na kutumika kingono.
Unakuwa chombo cha watu wengine zaidi, which means watu watakufaidi kuliko utakavyojifaidi.
Tofauti na hilo, uhandsome una maana gani nyingine hasa?
Kwani lazima? Acha mtu aringe na alichojaliwaa.Uhandsome ni kitu halisi japo watu wanarusha mitusi unachoharibu jamaa ni kujinadi hata kama ni handsome unakausha Kana kwamba hujijui ulivyo jiweke level moja na sisi wenye misura migumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilipokuwa mdogo watu walikuwa wananiita handsome wananibeba na kunishangaliaa!
Nilipokuwa shule nikawa naona wavulana mabasha kama wananifuata fuata hivi, wengine wanataka niwatifue vinyeo. Niliwabamiza kweli kweli.
Lakini baadaye nikaanza kuwa SURA MBAYA, komwe likachomoza.
Cc: mshamba_mwingine dronedrake Poor Brain
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msimshambulie sana endsamu wa watu, waliomuelewa wako pm saivi wanamalizana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wadada watawafuja tu....
Waacheni mahendisamu waje kwetu mishangazi tuwalee, tuwape magari yetu watesee mujini [emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumaanisha nn kwamba diara katoka gorin kibu anajipimia tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]masela wanasuka nae “jumla jumla”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawapati hata kiinua mgongo chao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeongea point kubwa ila umesahau tu mahendisamu wengi ni mashoga na mapapai.
Kumekuchaaaa!!! Na watumiaji wa hao wanao left group wako wengi,Serikali iongeze mkazo na iwekeze kwenye kumlinda mtoto wa kiume maana idadi ya watoto wa kiume wano LEFT GROUP linaongezeka kwa kasi sana
Kwahiyo na wewe ni mmoja wa wanaoshobokea hizo suraKwani lazima? Acha mtu aringe na alichojaliwaa.
Why not? [emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo na wewe ni mmoja wa wanaoshobokea hizo sura
Basi sawaWhy not? [emoji23][emoji23][emoji23]