Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
nisikusikie ukijisifia sura😂😂😂 Weee hapana mi sina hayo mambo mkuu khaaa...
Mi sisapoti mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nisikusikie ukijisifia sura😂😂😂 Weee hapana mi sina hayo mambo mkuu khaaa...
Mi sisapoti mkuu
Nawww n handsome😂😂😂Wenzio tunachukia wewe unaenjoy
Kibongobongo unakua unaonekana miyeyusho
Ndo nini?Nawww n handsome😂😂😂
Astakafillah astakafillah astakafillah mara sabanisikusikie ukijisifia sura
😂😂😂😂haya piga kazi nitafute baadaeAstakafillah astakafillah astakafillah mara saba
Siwezi na sijawahi na sitowahi mkuu..
Hayo mambo si taonekana khanisi 😂😂😂😂
Ntaonekana bwabwa mkuu
naww n mmoja wa huyo mtoa madaNdo nini?
Na makanisaniYani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Siamini katika mawazo yakenaww n mmoja wa huyo mtoa mada
Nasikia mkuu hata favour za kupigwa back mnazipata sana?Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Kazi sina sasa mkuu😂😂😂😂haya piga kazi nitafute baadae
Ni aibu sana alichokifanya huyu mwenzetu!Soon utajisifia una tako laini
Haya nitafute sasa!!Kazi sina sasa mkuu
naiman saiz PM yake itakua imejaaaNasikia mkuu hata favour za kupigwa back mnazipata sana?
Ndo tuongee mkuu ahahaHaya nitafute sasa!!
Wakuu nionyeshen namna ya kublock thread za mtu usiwe unazionaYani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
njoo inboboNdo tuongee mkuu ahaha
Aibu sana aiseee!naiman saiz PM yake itakua imejaaa
Safi hayo ndo mambo sasa...njoo inbobo