Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

Makasiriko ni mengi sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wizoooo, mbonaa km una kitu, hebu sema tena.
 
Uhandsome ni kitu halisi japo watu wanarusha mitusi unachoharibu jamaa ni kujinadi hata kama ni handsome unakausha Kana kwamba hujijui ulivyo jiweke level moja na sisi wenye misura migumu
Kwani lazima? Acha mtu aringe na alichojaliwaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali iongeze mkazo na iwekeze kwenye kumlinda mtoto wa kiume maana idadi ya watoto wa kiume wano LEFT GROUP linaongezeka kwa kasi sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumaanisha nn kwamba diara katoka gorin kibu anajipimia tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali iongeze mkazo na iwekeze kwenye kumlinda mtoto wa kiume maana idadi ya watoto wa kiume wano LEFT GROUP linaongezeka kwa kasi sana
Kumekuchaaaa!!! Na watumiaji wa hao wanao left group wako wengi,
No supplies without demands.
 
Huwezi kuta shoga ana sura ya kazi sasa kama wewe ni handsome na unapenda offer kakae Zanzibar au Mombasa utakula Bata sana na kama una msambwanda wewe ni wa bei kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…