Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Oiii
Nimeijua JF mwaka 2012 nikiwa form five...that time nilikua msomaji tuu.
Nilijiunga rasmi mwaka 2016 nikiwa chuoni. JF...ilibadilisha maisha yangu na mtazamo wangu.

Nilikua nasoma nondo mbalimbali huku...kisha naenda kuanzisha mdahalo na maraia chuoni...nilikua deep balaa na kuwapiga KO...hasa kwenye upande wa siasa, vijana wa chama cha kijani nilikuwa nawakalisha ile mbaya kwenye kujenga hoja na ku zi defend.

Kwa sasa nimemaliza chuo na napambana kitaa ku connect the unconnected future.
 
Mswanu?
 
Ha ha ha ,apo kweny kurudisha mpira kwa kipa imenigusa mkuu,,

Sawa kabisa na mm apa nipo njian ndo narudisha mpira kwa nguvu zote japo kwa kipindi kifup tu
 
Acha uhuni mdogo wangu,ngoj komenti iwe fupi fupi tu
 
Mwaka gan kulikua na intrview mkuu??
Ha ha ha ,kwel inawezekan nilikua bado mdg
 
Ulizingua mkuu ungekomaa nae mngeenda njia moja i hope
 
We jamaa naon umeniwakilisha vyema big up

Mwalimu wangu alienifundisha pale coet somo la ujasiriamali yeye kaajiriwa ,*****
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…