Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Oiii
Nimeijua JF mwaka 2012 nikiwa form five...that time nilikua msomaji tuu.
Nilijiunga rasmi mwaka 2016 nikiwa chuoni. JF...ilibadilisha maisha yangu na mtazamo wangu.

Nilikua nasoma nondo mbalimbali huku...kisha naenda kuanzisha mdahalo na maraia chuoni...nilikua deep balaa na kuwapiga KO...hasa kwenye upande wa siasa, vijana wa chama cha kijani nilikuwa nawakalisha ile mbaya kwenye kujenga hoja na ku zi defend.

Kwa sasa nimemaliza chuo na napambana kitaa ku connect the unconnected future.
 
Jf niliifahamu kipindi nipo form 4, awamu ya pili ya J.K. Nilikuwa msomaji tuuu mpaka nilipomaliza form 6 ndiyo nikajiunga kwa mara ya kwanza.
Siku ya kwanza tu kuweka bandiko humu nilijibiwa "pumba" na mkuu bulldog, nilipanic sana ila baadae nikajifunza namna ya ku-handle matters online.

Nipo ghetto naendelea na harakati za kuboresha kesho yangu, chuo nimeshamaliza tayari ila mambo bado hayajawa "mswanu", tunakomaa kimtaa-mtaa.
Mswanu?
 
Niliijua JF kwakua mimi ni mtu wa kusoma soma online nilikua namsoma Dinahcious & co kuna siku nikiwa nasearch online story yenye kutisha ikaja link ya jf. Nilivyoingia na kuzidi kuperuzi nikakuta stori ya jamaa ambaye alitaitiwa na vibaka akiwa na mpenzi wake wakataka kumlawiti mshkaji, jamaa akakimbia akamuacha mke.

Niko mtaani, najitegemea ila soon narudisha mpira kwa kipa.

Kwa wazee ilinibidi tu nitoke sikua na option. Ila sitaelezea kilichotokea.

Bado nasota mtaani.

Sijaoa. Sipo single.
Ha ha ha ,apo kweny kurudisha mpira kwa kipa imenigusa mkuu,,

Sawa kabisa na mm apa nipo njian ndo narudisha mpira kwa nguvu zote japo kwa kipindi kifup tu
 
Jf niliifahamu kipindi nipo form 4, awamu ya pili ya J.K. Nilikuwa msomaji tuuu mpaka nilipomaliza form 6 ndiyo nikajiunga kwa mara ya kwanza.
Siku ya kwanza tu kuweka bandiko humu nilijibiwa "pumba" na mkuu bulldog, nilipanic sana ila baadae nikajifunza namna ya ku-handle matters online.

Nipo ghetto naendelea na harakati za kuboresha kesho yangu, chuo nimeshamaliza tayari ila mambo bado hayajawa "mswanu", tunakomaa kimtaa-mtaa.
Acha uhuni mdogo wangu,ngoj komenti iwe fupi fupi tu
 
Hahahaaaaa!, umenikumbusha mbali sana interview ya kujiunga JF ilikuwa tight sana hasa oral, bora written ilikuwa nafuu kidogo..

Nakumbuka kwenye oral Mello aligonga swali, " Do you think you are a great thinker?" Nikajibu "Yes" akaniuliza, "What is thinking?" Daah , nilitoa macho kama Betlehem wa JF, lakini nashukuru nilipita interview.
Mwaka gan kulikua na intrview mkuu??
Ha ha ha ,kwel inawezekan nilikua bado mdg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yupo humu...Yule mmama alitokea kunielewa sanaa.shida nilikuwa najipaisha sanaaa kumbe holaa....
ya mkini kama ningwambia ukweli ningepata vingi toka kwake..coz alitokea kuniamini sanaaa...na kunishirikisha mambo yake mengi...
na yeye ndiyo aliomba kuonana na Mimi.
shida baada ya kukutana yeye kashuka kwenye gari Mimi nipo na MIGUU. mbaya zaidi umri ulikuwa mdogo ndo nimemaliza 4m 4. .ukicheki yeye muajiriwa na mfanyabiashara

Alibaki kushangaa sanaa na kutoamini kuwa kumbe alikuwa anachat na katoto na kumwambia mambo yake..
alinilaumu snaa Y? nilikuwa na mdanganya...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nikaona huu msalaa maana ndizo zilikuwa swaga zangu enzi hizo kwa mademu wa humu..
na isitoshe alisema ataleta ushuhuda na kuniponda +kunianika jukwaani
nikasema heri lawama kuliko fedhea nika mute kuingia humu...
Ulizingua mkuu ungekomaa nae mngeenda njia moja i hope
 
Tupo hapa,,,

Wengine Mitaa haitaki kutuelewa.

Wengine tupo tupo tu Utadhani tumetoka Jeshi la Wafu.

Wengine tunaota ndoto zilizolowa ya kwamba kabla ya kufikia Miaka Thelathini na tano tutakuwa Mabilionea.

Dunia Tambara bovu,

Mapambano yanaendelea:
We jamaa naon umeniwakilisha vyema big up

Mwalimu wangu alienifundisha pale coet somo la ujasiriamali yeye kaajiriwa ,*****
 
Back
Top Bottom