Vijana utajiri upo kwenye kilimo, tokeni mjini huko aisee!

Vijana utajiri upo kwenye kilimo, tokeni mjini huko aisee!

Duh! Kweli we boya yani kuingiza ml 30 ndani ya miaka miwili yoote hiyo ndo unakimbilia jamii forum kujisifu?.
Upotezaji wa muda tu.
 
Mimi naona freshman Ting sio vibaya nikikunja 1.5M bila makato kwa Mwezi namaanisha inachomoka hivyo hivyo kwenye ATM kwa Mwaka 18M [mshahara wa Mbunge kwa Mwezi] inakua imekunjwa nshaanzisha asset zingine za kuniingizia 1.5M kwa mwezi kila moja nikiajiri kijana nikawa nampa 200k kwa Mwezi kwenye kila asset nna hasara gani, hapo unaonaje?
18M kwa mwezi umepiga jesabu za matumizi ya kila siku, mwezi hadi miezi 12?
 
For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?

Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno

Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.

" mjini msingi kiuno"
Wanaofaidika na kilimo, au sekta yoyote hile,hawana majigambo kama haya,
Utaona tu matokeo, na uta appreciate,
 
Back
Top Bottom