Imma mfugale
Member
- Jan 29, 2015
- 68
- 89
Tukilima wote, nani atanunua mazao ya mwenzie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madafu ni Mbuzi Ila kwa Biden $ au tusiende mbali Botswana Pula ni Pesa ndefuHiyo si hela ya mbuzi tu.
18M kwa mwezi umepiga jesabu za matumizi ya kila siku, mwezi hadi miezi 12?Mimi naona freshman Ting sio vibaya nikikunja 1.5M bila makato kwa Mwezi namaanisha inachomoka hivyo hivyo kwenye ATM kwa Mwaka 18M [mshahara wa Mbunge kwa Mwezi] inakua imekunjwa nshaanzisha asset zingine za kuniingizia 1.5M kwa mwezi kila moja nikiajiri kijana nikawa nampa 200k kwa Mwezi kwenye kila asset nna hasara gani, hapo unaonaje?
Wanaofaidika na kilimo, au sekta yoyote hile,hawana majigambo kama haya,For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"