Vijana wa Afrika waongea na wanaanga wa China walioko anga ya juu kwa njia ya mtandao

Vijana wa Afrika waongea na wanaanga wa China walioko anga ya juu kwa njia ya mtandao

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Vijana kutoka nchi 8 za Afrika wameongea na wanaanga wa China walioko kwenye Kituo cha Anga ya Juu Tiangong kwa njia ya mtandao.

Wanaanga hao wakiwemo Chen Dong, Liu Yang na Cai Xuzhe wamejibu maswali yaliyoulizwa na vijana hao kama vile wanaweza kuona Jangwa la Sahara na Mlima Kilimanjaro kutoka anga ya juu, jinsi wanaanga wanawake wanavyotimiza ndoto yao, maisha ya angani yanakuwaje, na wanajiburudisha vipi huko angani.

Hii ni moja ya shughuli za kuadhimisha miaka 20 tangu China ianzishe uhusiano wa kibalozi na Umoja wa Afrika.
1662621021798.png

1662621032567.png

1662621049978.png

1662621062027.png

1662621075447.png
 
Wanaanga hao wakiwemo Chen Dong, Liu Yang na Cai Xuzhe wamejibu maswali yaliyoulizwa na vijana hao kama vile wanaweza kuona Jangwa la Sahara na Mlima Kilimanjaro kutoka anga ya juu, jinsi wanaanga wanawake wanavyotimiza ndoto yao, maisha ya angani yanakuwaje, na wanajiburudisha vipi huko angani.
Ni majuzi tu hao wanaume wameonywa wasifanye masturbation kwa tahadhari ya kutosababisha pregnancy kwa hao wanawake
 
Back
Top Bottom