A Change Starts With You!Unaona sasa
Mtu wa Dar anaambiwa swali halafu hajibu analigeuza swali hilo hilo kwa aliemuuliza
Kama huwezi kujibu sema siwezi,ila kuligeuza na kumuuliza aliekuuliza ni kama ukichaa fulani hivi
I think ungejibu tu swali au sema siwezi tukuelewe,sio vibaya kusema siwezi!
Kabisa.!Tuishie hapa. Hii nchi tunawezq ondoa hiyo mikoa afu ika songa tu ikitegemea mikoa ya pwani kama dar nk
😆😆😆😬 Kwani na wewe si ulipue tu jombiiKuna hawa wanaoendesha piki piki wakilipua vitu mbali mbali bila sababu yaani ni hatari kubwa kuna sehemu watavamiwa watu watadhani ni milipuko ya pikipiki kumbe wamevamiwa
Unazungumzia matukio yapi ushoga kwamba Geita ni mashoga wengi kuliko Arusha?Malizeni wao wadada wanaume kwanza hapo daslam mimi kwangu Bora mtoto awe jambazi kuliko kuwa shoga alafu mbona Arusha haina matukio kiiivo kama Geita???
Kwa hio dingilai wewe unasemaje kwamba Porter's wa Arusha wanapasuliwa spika na foreigners?Kila sehemu Kuna life staili yao so usifosiR chuga kufanana na sehemu nyingine za kiwaki kama huko dar vijana ni warembo kuliko dada zao huku swala ushoga likiwa limetamalaki
Sasa hivi niko kijiwe cha kahawa hapa karibu na Amana Bank kama unashuka kwa Benson,amekuja dogo kapaki pikipiki ana kiatu kama tofali aisee,kasuruali Kate kamebana chini kama soksi,koti kubwa halafu mchafu mbaya,yaani aisee,siwezi hamishia watoto wangu hapa wakakulia hapa hapana,nina zaidi ya miaka kumi nafanya kazi hapa lakini sipahitaji kifamilia hata kidogoView attachment 2707633
Kunahitajika PROGRAMU ya dharura kuliokoa hili jiji.
Sina maana ya kusema vijana wote wa Arusha ni wahuni na waalifu ama kusema Arusha si salama kabisa, La Hasha! ni kwamba hata katika hao wahuni wachache wanaofanya Arsusha ishuke katika hali ya usalama na maadili, kasi yao ya ukuaji ni mithiri ya kansa ya kidole inavyosambaa mwilini kwahio sio jambo la kufumbia macho kwamba eti kwasababu sio wote basi wapuuziwe, kumbuka hata mayai machache yaliyooza yatazidi kuozesha mengine hatua zisipochukuliwa, kwa wale tuliosoma soma nadhani tunajua kitu kinaitwa compounding.
Vijana wengi ni waliozaliwa na kukulia hapa hapa ni jamii za wazawa wenye asili ya Arusha kama Wameru na Waarusha pamoja na jamii za wenyeji ambao walihamia na wapo kwa muda mrefu kama Warangi, Wachaga, Wambulu, Wanyaturu.
matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni kwa vijana wa sasa tangu wakiwa wadogo ndio huchangia zaidi vijana kuendeleza huu utamaduni, Mazingira pia ya jamii inayowazunguka na Mifumo ya malezi kwa baadhi ya wazazi nayo inachangia kukuza vijana wahuni, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni ama mhalifu.
mapikipiki haya ya wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu,.Bodaboda za kutaftia riziki wanalazimisha ziwe pikipiki za michezo, ukienda kwenye magroup yao haya ya kudandia pikipiki kuna "pumzika kwa amani / rip" nyingi sana.
vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi, sina shida na matumizi ya vilevi hata mimi ni mdau ila nafata misingi,tatizo makundi yanaponza sana na kuchangia abuse (abnormal use), wanatumia kwa kuigana au ile kutaka kuonekana wamepinda ili kupata uhakiki kutoka wenzao kwamba ni wajanja, na ndio hapa mtu ananasa kwenye uraibu.
Kuna Umakundi makundi wa kihuni huni wanaoishi bila future,
Suala la kupigana beto (visu) nalo halipo nyuma, Sime na visu vimekuwa vitu ambavyo vinazidi kuzoeleka kutumika sio tu kwenye uporaji bali hata kwenye mabifu ama ugomvi baina ya vijana, niliwahi shuhudia live kwa macho yangu pale karibu na stendi ugomvi niliodhani watu watachapana ngumi niliona mtu anapigwa kisu damu nje nje,kuna clip nimecheki majuzi Fidovato analalamika vijana wanapigana beto, hata wasanii wa huko Father Nelly wa kundi la X Plastaz aliuliwa kwa visu, nae Lord Eyes aliwahi kujeruhiwa,
Wizi nao hauna dalili ya kupungua, watu wanaporwa kikatili sana inabidi utii amri lasivyo utavurugwa maini na beto, bodaboda wanaibiwa pikipiki mpaka kuuwawa, ujambazi nao upo wa kuvamia matajiri, kwa ufupi kuna famjlia zinajulikana kabisa wanaishi mjini kwa shughuli hizo lakini ndio wanapewa heshima maana uhuni unaonekana ujanja.
Suala la maadili nalo limepungua sana na hii imechangia sana hata makanisani na misikitini kuwepo na upungufu mkubwa sana wa vijana,
Kuna msiba vijana wameshiriki mazishi ya mwenzao mara wakataka mchapa mchungaji kisa mchungaji aliwapa maneno ya kweli, sehemu nyingine wamekatisha misa kanisani wakachukua maiti kwenda kuizika wenyewe, kuongea hovyo hata mbele ya camera mpaka hivi sasa imekuwa kama jadi yao hata kama wanaweza kuongea vizuri
Ajabu ni kwamba hata polisi ni kama vile wamefumbia jicho ama jitihada wanazofanya ni ndogo sana, ni kama vile wamezila na kujikatia tamaa wamewaacha wenye mji wafanye watachojua wao with little interference
Matukio ya uhalifu uvunjivu wa sheria huo ushoga upo zaidi mkioa iliyokaliwa na waswahili..Unazungumzia matukio yapi ushoga kwamba Geita ni mashoga wengi kuliko Arusha?
Waharifu kivipi jombiiMatukio ya uhalifu uvunjivu wa sheria huo ushoga upo zaidi mkioa iliyokaliwa na waswahili..
Exposure kuvaa mashati marefu mpaka miguuni na tye inaburuza chini...?Sehem yenye exposure mambo ya kusalimiana yashapitwa na wakat...we unataka kusalimiwa ili ikusaidie Nini?nenda huko duniani uone kama Kuna mtu mweny kumind buznss na mtu
Mawe gizani yanawafukunyua tu machalii ya R mamamae...!Bila shaka una Asili ya Pwani aka Umwinyi.
Kama unataka salamu nenda mashuleni huko.
Ni Buti kubwa la Boshori bablaiExposure kuvaa mashati marefu mpaka miguuni na tye inaburuza chini...?
Au kuvaa miviatu mikubwa kuliko size za miguu yenu ndio exposure...?
Ndio exposure hiyo ndugu yangu...?Ni Buti kubwa la Boshori bablai
LifestyleNdio exposure hiyo ndugu yangu...?
Haya.Lifestyle
usiongee sana ...nenda gereza la kisongo ujionee, tumewajaza humo vijana wa arusha na bado tunaendelea kuwajaza muda si mrefu wengine tutaanza kuwapeleka gereza la karanga moshiiiiii..View attachment 2707633
Kunahitajika PROGRAMU ya dharura kuliokoa hili jiji.
Sina maana ya kusema vijana wote wa Arusha ni wahuni na waalifu ama kusema Arusha si salama kabisa, La Hasha! ni kwamba hata katika hao wahuni wachache wanaofanya Arsusha ishuke katika hali ya usalama na maadili, kasi yao ya ukuaji ni mithiri ya kansa ya kidole inavyosambaa mwilini kwahio sio jambo la kufumbia macho kwamba eti kwasababu sio wote basi wapuuziwe, kumbuka hata mayai machache yaliyooza yatazidi kuozesha mengine hatua zisipochukuliwa, kwa wale tuliosoma soma nadhani tunajua kitu kinaitwa compounding.
Vijana wengi ni waliozaliwa na kukulia hapa hapa ni jamii za wazawa wenye asili ya Arusha kama Wameru na Waarusha pamoja na jamii za wenyeji ambao walihamia na wapo kwa muda mrefu kama Warangi, Wachaga, Wambulu, Wanyaturu.
matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni kwa vijana wa sasa tangu wakiwa wadogo ndio huchangia zaidi vijana kuendeleza huu utamaduni, Mazingira pia ya jamii inayowazunguka na Mifumo ya malezi kwa baadhi ya wazazi nayo inachangia kukuza vijana wahuni, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni ama mhalifu.
mapikipiki haya ya wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu,.Bodaboda za kutaftia riziki wanalazimisha ziwe pikipiki za michezo, ukienda kwenye magroup yao haya ya kudandia pikipiki kuna "pumzika kwa amani / rip" nyingi sana.
vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi, sina shida na matumizi ya vilevi hata mimi ni mdau ila nafata misingi,tatizo makundi yanaponza sana na kuchangia abuse (abnormal use), wanatumia kwa kuigana au ile kutaka kuonekana wamepinda ili kupata uhakiki kutoka wenzao kwamba ni wajanja, na ndio hapa mtu ananasa kwenye uraibu.
Kuna Umakundi makundi wa kihuni huni wanaoishi bila future,
Suala la kupigana beto (visu) nalo halipo nyuma, Sime na visu vimekuwa vitu ambavyo vinazidi kuzoeleka kutumika sio tu kwenye uporaji bali hata kwenye mabifu ama ugomvi baina ya vijana, niliwahi shuhudia live kwa macho yangu pale karibu na stendi ugomvi niliodhani watu watachapana ngumi niliona mtu anapigwa kisu damu nje nje,kuna clip nimecheki majuzi Fidovato analalamika vijana wanapigana beto, hata wasanii wa huko Father Nelly wa kundi la X Plastaz aliuliwa kwa visu, nae Lord Eyes aliwahi kujeruhiwa,
Wizi nao hauna dalili ya kupungua, watu wanaporwa kikatili sana inabidi utii amri lasivyo utavurugwa maini na beto, bodaboda wanaibiwa pikipiki mpaka kuuwawa, ujambazi nao upo wa kuvamia matajiri, kwa ufupi kuna famjlia zinajulikana kabisa wanaishi mjini kwa shughuli hizo lakini ndio wanapewa heshima maana uhuni unaonekana ujanja.
Suala la maadili nalo limepungua sana na hii imechangia sana hata makanisani na misikitini kuwepo na upungufu mkubwa sana wa vijana,
Kuna msiba vijana wameshiriki mazishi ya mwenzao mara wakataka mchapa mchungaji kisa mchungaji aliwapa maneno ya kweli, sehemu nyingine wamekatisha misa kanisani wakachukua maiti kwenda kuizika wenyewe, kuongea hovyo hata mbele ya camera mpaka hivi sasa imekuwa kama jadi yao hata kama wanaweza kuongea vizuri
Ajabu ni kwamba hata polisi ni kama vile wamefumbia jicho ama jitihada wanazofanya ni ndogo sana, ni kama vile wamezila na kujikatia tamaa wamewaacha wenye mji wafanye watachojua wao with little interference
Jeeesuuus!Mida flani umegonga ugali sangara mixa mchicha,umekunywa bia mbili,bangi 5,maji ya jero na wills embassy za buku...
Unarudi home saafi
boda boda guys are full of comic which turn to perish themselves.Several cases as case study in this year,the government should take measures to rescue their life without that 'll endanger the prosperity of region and country in general!View attachment 2707633
Kunahitajika PROGRAMU ya dharura kuliokoa hili jiji.
Sina maana ya kusema vijana wote wa Arusha ni wahuni na waalifu ama kusema Arusha si salama kabisa, La Hasha! ni kwamba hata katika hao wahuni wachache wanaofanya Arsusha ishuke katika hali ya usalama na maadili, kasi yao ya ukuaji ni mithiri ya kansa ya kidole inavyosambaa mwilini kwahio sio jambo la kufumbia macho kwamba eti kwasababu sio wote basi wapuuziwe, kumbuka hata mayai machache yaliyooza yatazidi kuozesha mengine hatua zisipochukuliwa, kwa wale tuliosoma soma nadhani tunajua kitu kinaitwa compounding.
Vijana wengi ni waliozaliwa na kukulia hapa hapa ni jamii za wazawa wenye asili ya Arusha kama Wameru na Waarusha pamoja na jamii za wenyeji ambao walihamia na wapo kwa muda mrefu kama Warangi, Wachaga, Wambulu, Wanyaturu.
matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni kwa vijana wa sasa tangu wakiwa wadogo ndio huchangia zaidi vijana kuendeleza huu utamaduni, Mazingira pia ya jamii inayowazunguka na Mifumo ya malezi kwa baadhi ya wazazi nayo inachangia kukuza vijana wahuni, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni ama mhalifu.
mapikipiki haya ya wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu,.Bodaboda za kutaftia riziki wanalazimisha ziwe pikipiki za michezo, ukienda kwenye magroup yao haya ya kudandia pikipiki kuna "pumzika kwa amani / rip" nyingi sana.
vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi, sina shida na matumizi ya vilevi hata mimi ni mdau ila nafata misingi,tatizo makundi yanaponza sana na kuchangia abuse (abnormal use), wanatumia kwa kuigana au ile kutaka kuonekana wamepinda ili kupata uhakiki kutoka wenzao kwamba ni wajanja, na ndio hapa mtu ananasa kwenye uraibu.
Kuna Umakundi makundi wa kihuni huni wanaoishi bila future,
Suala la kupigana beto (visu) nalo halipo nyuma, Sime na visu vimekuwa vitu ambavyo vinazidi kuzoeleka kutumika sio tu kwenye uporaji bali hata kwenye mabifu ama ugomvi baina ya vijana, niliwahi shuhudia live kwa macho yangu pale karibu na stendi ugomvi niliodhani watu watachapana ngumi niliona mtu anapigwa kisu damu nje nje,kuna clip nimecheki majuzi Fidovato analalamika vijana wanapigana beto, hata wasanii wa huko Father Nelly wa kundi la X Plastaz aliuliwa kwa visu, nae Lord Eyes aliwahi kujeruhiwa,
Wizi nao hauna dalili ya kupungua, watu wanaporwa kikatili sana inabidi utii amri lasivyo utavurugwa maini na beto, bodaboda wanaibiwa pikipiki mpaka kuuwawa, ujambazi nao upo wa kuvamia matajiri, kwa ufupi kuna famjlia zinajulikana kabisa wanaishi mjini kwa shughuli hizo lakini ndio wanapewa heshima maana uhuni unaonekana ujanja.
Suala la maadili nalo limepungua sana na hii imechangia sana hata makanisani na misikitini kuwepo na upungufu mkubwa sana wa vijana,
Kuna msiba vijana wameshiriki mazishi ya mwenzao mara wakataka mchapa mchungaji kisa mchungaji aliwapa maneno ya kweli, sehemu nyingine wamekatisha misa kanisani wakachukua maiti kwenda kuizika wenyewe, kuongea hovyo hata mbele ya camera mpaka hivi sasa imekuwa kama jadi yao hata kama wanaweza kuongea vizuri
Ajabu ni kwamba hata polisi ni kama vile wamefumbia jicho ama jitihada wanazofanya ni ndogo sana, ni kama vile wamezila na kujikatia tamaa wamewaacha wenye mji wafanye watachojua wao with little interference
Utajiri wa baba zao ulipatikanajeVijana wa Arusha usela mavi mwingi sana. Kuhusu uhalifu ni miaka yote. Arusha unakuta mtoto wa tajiri naye ni jambazi. Miaka ya nyuma kidogo kuna kikundi cha majambazi kiliuwawa na polisi usiku maeneo ya clocktower.. kwenda kutazama ni watoto wa matajiri tupu. Huu usela mavi uliopo sasa hivi unakinaisha mno kwasababu uharibifu wake ni kwa vijana wengi.