Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Chuga fata life lako acha kuchunguza maisha ya watu na umbea.

Unataka kusalimiwa na watu hovyo hovyo itakusaidia nini sasa chalii ?
 
Masela “nya” , ila uzuri wakiingia Daslam ushenzi wao wanauachaga kwenye mabasi, shwaaain kabisa. [emoji706][emoji706]
Kama upo mbali na Arusha, Uhuni wao unakuwasha nini?

Si uwaache waishi kivyao?
 
Kama upo mbali na Arusha, Uhuni wao unakuwasha nini?

Si uwaache waishi kivyao?
Mkuu umenijibu jana umeona nimekukalia kimya leo umerudi tena kuna unachokitafuta? By the nipo njiro arusha na leo nina muda na mood ya kutosha.
 
Sema jamaa waoga sana.. hasa wakikujua ni MDASLAM.

Nilikuja huko wiki iliyopita wakatak kuleta uhuni wao pale stend.. hawakuamini.
 
Arusha isipothibitiwa itakuwa kama Durban Africa Kusini
 
Why So obsessed na visivyowahusu 🤭🙃
Ikiwa ni nchi moja basi tambua kuna mwingiliano sana mfano kimahusiano,kibiashara kirafiki na hata kidini...lakini inapotokea hata mwenyeji anakosa amani kwa mgeni wake tokana na tabia za kishenzi za eneo lake kwa mgeni unategemea atafsiri nini ?

Yaani kila kitu unachofanya kina warning unapewa..kuanzia njia/ barabara,mitaa,urafiki,gereji unapopeleka chombo cha moto kwa matengenezo,Bar hadi lodge...yaan mpaka unajiuliza hawa vijana ndio wanaoleta shida hii ya watu kuna wasi wasi all time...!!!
 
NIlipata kazi Arusha kwenye ofisi za shirika fulani, nilienda kuripoti na kusoma mazingira ili nione kama naweza hamishia familia, baada ya wiki nilirudi zangu Dar na kazi nikaacha maana niliona mazingira sio rafiki kwa malezi na usalama wa watoto, mpaka na leo napachukia Arusha sitamani hata kwenda kutembea
 
Mkuu umenijibu jana umeona nimekukalia kimya leo umerudi tena kuna unachokitafuta? By the nipo njiro arusha na leo nina muda na mood ya kutosha.
Hahaha, hunifahamu....karibu
 
Watu wame overrate humu. Usiamini kila unachokisikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…