Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Uko sahihi sana mleta mada. Arusha ujinga ni mwingi na unatukizwa. Malezi mabovu ndio chanzo natokea kilimanjaro lakini majirani zetu kunasehemu walifeli japo vichwa vipo kuna madogo ni wapambanaji alafu wako smart sana.

Bhange na pombe kali sikatazi mtu kutumia ila makundi yanaponza sana
 
Ndio maana hayati Nyerere alidai uhuru kwa kuanza kuwahusisha watu wa pwani ,kati ,kusini na nyanda za juu....

Hapa kuna siri kubwa mno....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Watu wa pwani ndio waliomuhusisha Nyerere na Sio Nyerere ndie, baada ya Uhuru aliipotosha historia.
Yeye alikuta tayari harakati zimeanza wakampa uongozi wa chama kwa sababu tu ya usomi wake.
Uhuru wa Tanganyika ni matokeo ya makubaliano ya wazee wa pwani na shetani mapangoni bagamoyo ikiwemo masharti Kama uwepo wa umasikini,mbio za mwenge,nk
 
Kilimanjaro dini ndio imewasaidia kuwashape mlivyo.Hadi miaka ya 2000 mabinti wengin walimaliza sekondari wakiwa bikira kabisa.
Wameharibika ni baada ya ujiio wa mmomonyoko wa maadili wa kidunia wa kizazi hiki
 
Inasikitisha sana
 
Wewe unaijua Arusha na watu wake. Tunakupa maua yako. Kwenye mpango mkakati wa kuiokoa Arusha unatakiwa uwe team member au team leader kabisa.
 


Nimekulia Arusha, naishi dar, nina miaka 53, hayo ya Arusha nayaona kwenye simu, sijawahi yaona in real life, ni % ndogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…