Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Hebu tuache sentiments na vitu subjective namna hiiUna uhakika hujadanganya katika hata sehemu moja ya maelezo yako? Anyway! Kuna mdau hapo juu kasema vijana wa Arusha wakija Dar wanakuwa ni kama kuku tu (malofa). So, ni vijana wa Arusha ndiyo wanawaonea wivu vijana wajanja na smart, wenye exposure ya kutisha, wa DSM!
Naomba uweke takwimu ya hao vijana malofa!
Naomba ufanye hili ili tuende sambamba