mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Kuna kijana mmoja pia " nimemaliza nae UDOM kijana wa Lumumba ana kihere here Sana.Naomba Pia Huu ujumbe Umfikie Popote alipo👆Naomba huu ujumbe umfikie "Petro magoti". Jamaa ukimkata anatoa damu ya kijani. Jk alipita bila teuzi sasa naona hata JPM kampita pia.
Inauma, inauma Sana! Umeanza kuipenda CCM tangu utoto, ukashiriki chipukizi kisha ukaingia UVCCM.
Umesaka mpk vyeti vya elimu ya juu ili uwe na sifa zote za kupewa nafasi ndani ya chama ulichokipambania tangu utoto wako lkn unaishia kusugua benchi kwenye korido za Lumumba.
Kuna siku jpm aliwahi kumpa sifa msomi (wa phd) fulani ndani ya ccm kwamba amekuwa akilipwa laki 5 kwa miaka kibao akisubiri uteuzi.
Lkn vijana toka upinzani wamekuwa wakipiga purukushani za miaka michache tu kisha huonwa na kupewa vyeo.
Ndiyo maana wakinga wanasema:- Joining opposition wing is a short, simple and quick method of securing a post in the government led by CCM.
Sonje wa Songwe alilalamika hadharani juu ya hili. Hoja yake ikazimwa na JPM halafu wanaccm kindakindaki mkaufayata.
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
Inauma, inauma Sana! Umeanza kuipenda CCM tangu utoto, ukashiriki chipukizi kisha ukaingia UVCCM.
Umesaka mpk vyeti vya elimu ya juu ili uwe na sifa zote za kupewa nafasi ndani ya chama ulichokipambania tangu utoto wako lkn unaishia kusugua benchi kwenye korido za Lumumba.
Kuna siku jpm aliwahi kumpa sifa msomi (wa phd) fulani ndani ya ccm kwamba amekuwa akilipwa laki 5 kwa miaka kibao akisubiri uteuzi.
Lkn vijana toka upinzani wamekuwa wakipiga purukushani za miaka michache tu kisha huonwa na kupewa vyeo.
Ndiyo maana wakinga wanasema:- Joining opposition wing is a short, simple and quick method of securing a post in the government led by CCM.
Sonje wa Songwe alilalamika hadharani juu ya hili. Hoja yake ikazimwa na JPM halafu wanaccm kindakindaki mkaufayata.
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
Acha uvccm waendelee kulamba viatu!
!
Abdul Nondo wa ACT is next
Kwani hao uliyowataja siyo Watanzania?Inauma, inauma Sana! Umeanza kuipenda CCM tangu utoto, ukashiriki chipukizi kisha ukaingia UVCCM.
Umesaka mpk vyeti vya elimu ya juu ili uwe na sifa zote za kupewa nafasi ndani ya chama ulichokipambania tangu utoto wako lkn unaishia kusugua benchi kwenye korido za Lumumba.
Kuna siku jpm aliwahi kumpa sifa msomi (wa phd) fulani ndani ya ccm kwamba amekuwa akilipwa laki 5 kwa miaka kibao akisubiri uteuzi.
Lkn vijana toka upinzani wamekuwa wakipiga purukushani za miaka michache tu kisha huonwa na kupewa vyeo.
Ndiyo maana wakinga wanasema:- Joining opposition wing is a short, simple and quick method of securing a post in the government led by CCM.
Sonje wa Songwe alilalamika hadharani juu ya hili. Hoja yake ikazimwa na JPM halafu wanaccm kindakindaki mkaufayata.
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
Waache akili iwaingie mkuu halafu kutwa wapo humu wanawaponda upinzani na mbowe bila kujua kwamba vijana wa mbowe wamechukua vitengo ambavyo walipaswa wapewe wao wafia chamaInauma, inauma Sana! Umeanza kuipenda CCM tangu utoto, ukashiriki chipukizi kisha ukaingia UVCCM.
Umesaka mpk vyeti vya elimu ya juu ili uwe na sifa zote za kupewa nafasi ndani ya chama ulichokipambania tangu utoto wako lkn unaishia kusugua benchi kwenye korido za Lumumba.
Kuna siku jpm aliwahi kumpa sifa msomi (wa phd) fulani ndani ya ccm kwamba amekuwa akilipwa laki 5 kwa miaka kibao akisubiri uteuzi.
Lkn vijana toka upinzani wamekuwa wakipiga purukushani za miaka michache tu kisha huonwa na kupewa vyeo.
Ndiyo maana wakinga wanasema:- Joining opposition wing is a short, simple and quick method of securing a post in the government led by CCM.
Sonje wa Songwe alilalamika hadharani juu ya hili. Hoja yake ikazimwa na JPM halafu wanaccm kindakindaki mkaufayata.
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
unajidanganya sana,hao wote ni ccm,walikwenda upinzani kwa kazi maalumShonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Kwa fikra zako hizi basi hakuna mtu ambaye ni chadema. Waliopo chadema wote ukiondoa vijana below 30 walikuwa ccm ama vyama vingine.unajidanganya sana,hao wote ni ccm,walikwenda upinzani kwa kazi maalum
Waitara alikua ccm akaenda chadema,utasemaje ni chadema huyo?
Dr Slaa alikua ccm akaenda chadema
Poleni nyie tanapa,kila siku kuchukua watu kutoka ccm kutegemea wawavushe
kwani wapinzani sio watanzania?Inauma, inauma Sana! Umeanza kuipenda CCM tangu utoto, ukashiriki chipukizi kisha ukaingia UVCCM.
Umesaka mpk vyeti vya elimu ya juu ili uwe na sifa zote za kupewa nafasi ndani ya chama ulichokipambania tangu utoto wako lkn unaishia kusugua benchi kwenye korido za Lumumba.
Kuna siku jpm aliwahi kumpa sifa msomi (wa phd) fulani ndani ya ccm kwamba amekuwa akilipwa laki 5 kwa miaka kibao akisubiri uteuzi.
Lkn vijana toka upinzani wamekuwa wakipiga purukushani za miaka michache tu kisha huonwa na kupewa vyeo.
Ndiyo maana wakinga wanasema:- Joining opposition wing is a short, simple and quick method of securing a post in the government led by CCM.
Sonje wa Songwe alilalamika hadharani juu ya hili. Hoja yake ikazimwa na JPM halafu wanaccm kindakindaki mkaufayata.
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
hakuna mtu ambaye kazaliwa kuanzia 1970 kurudi nyuma hajawahi kuwa ccm,acheni kudanganyanaKwa fikra zako hizi basi hakuna mtu ambaye ni chadema. Waliopo chadema wote ukiondoa vijana below 30 walikuwa ccm ama vyama vingine.
Lisu, Msigwa, Mbowe, Lema, e.t.c unadhani wameanzia siasa chadema?
Kwahiyo umezitupilia mbali hoja zako mfu?hakuna mtu ambaye kazaliwa kuanzia 1970 kurudi nyuma hajawahi kuwa ccm,acheni kudanganyana
Mbona wewe unasaga lami hadi viatu vimepinda na huna mbele wala nyuma pamoja na kushinda sana lumumba?unajidanganya sana,hao wote ni ccm,walikwenda upinzani kwa kazi maalum
Waitara alikua ccm akaenda chadema,utasemaje ni chadema huyo?
Dr Slaa alikua ccm akaenda chadema
Poleni nyie tanapa,kila siku kuchukua watu kutoka ccm kutegemea wawavushe
tatizo lako hunijuiMbona wewe unasaga lami hadi viatu vimepinda na huna mbele wala nyuma pamoja na kushinda sana lumumba?
ume crush nini kamanda?Kwahiyo umezitupilia mbali hoja zako mfu?
Ulileta hoja utopolo za Facebook nimezi-crash mpk umelegea.
Hawa wote walikua wapelelezi baada ya kugundua upinzani ni magumashi wamerudi nyumbaniMifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
Kwani lazima mzeekee Lumumba?Inauma, inauma Sana! Umeanza kuipenda CCM tangu utoto, ukashiriki chipukizi kisha ukaingia UVCCM.
Umesaka mpk vyeti vya elimu ya juu ili uwe na sifa zote za kupewa nafasi ndani ya chama ulichokipambania tangu utoto wako lkn unaishia kusugua benchi kwenye korido za Lumumba.
Kuna siku jpm aliwahi kumpa sifa msomi (wa phd) fulani ndani ya ccm kwamba amekuwa akilipwa laki 5 kwa miaka kibao akisubiri uteuzi.
Lkn vijana toka upinzani wamekuwa wakipiga purukushani za miaka michache tu kisha huonwa na kupewa vyeo.
Ndiyo maana wakinga wanasema:- Joining opposition wing is a short, simple and quick method of securing a post in the government led by CCM.
Sonje wa Songwe alilalamika hadharani juu ya hili. Hoja yake ikazimwa na JPM halafu wanaccm kindakindaki mkaufayata.
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
Kwani ni kweli wanalipa tuunge trela.Unatumia vibaya haki yako ya kutoa maoni .Yaani unavuka mipaka,tukisema tuwajibu mnakimbulia kwa mods eti "nipigwe ban" huo ni uzandiki na undezi. Haya wewe unafaidika nini na Ruzuku aliyovuta mbowe tar 27 Nov 2020??🤔
Tupeni njia tupate kula sote.Naona mnatafuta namna ya kufitinisha wazalendo wa nchi hii....MAENDELEO ya kweli yanakuja kutoka CCM na ni ukweli usiopingika ina hazina kubwa ya Vijana kwa Tanzania ya leo,Kesho na baada ya Kesho.
Angalia uvumilivu usikulishe vilivyooza.Tutapata tu vyeo na sisi,mvumilivu hula mbivu...