Vijana wa CCM mnazeekea kwenye corridor za Lumumba. Vijana wa upinzani wanazidi kulamba vyeo. Mpo?

Naomba huu ujumbe umfikie "Petro magoti". Jamaa ukimkata anatoa damu ya kijani. Jk alipita bila teuzi sasa naona hata JPM kampita pia.
Kuna kijana mmoja pia " nimemaliza nae UDOM kijana wa Lumumba ana kihere here Sana.Naomba Pia Huu ujumbe Umfikie Popote alipo👆
 


!
!
Abdul Nondo wa ACT is next
 
Kwani hao uliyowataja siyo Watanzania?
 
Waache akili iwaingie mkuu halafu kutwa wapo humu wanawaponda upinzani na mbowe bila kujua kwamba vijana wa mbowe wamechukua vitengo ambavyo walipaswa wapewe wao wafia chama
 
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
unajidanganya sana,hao wote ni ccm,walikwenda upinzani kwa kazi maalum
Waitara alikua ccm akaenda chadema,utasemaje ni chadema huyo?
Dr Slaa alikua ccm akaenda chadema
Poleni nyie tanapa,kila siku kuchukua watu kutoka ccm kutegemea wawavushe
 
unajidanganya sana,hao wote ni ccm,walikwenda upinzani kwa kazi maalum
Waitara alikua ccm akaenda chadema,utasemaje ni chadema huyo?
Dr Slaa alikua ccm akaenda chadema
Poleni nyie tanapa,kila siku kuchukua watu kutoka ccm kutegemea wawavushe
Kwa fikra zako hizi basi hakuna mtu ambaye ni chadema. Waliopo chadema wote ukiondoa vijana below 30 walikuwa ccm ama vyama vingine.

Lisu, Msigwa, Mbowe, Lema, e.t.c unadhani wameanzia siasa chadema?
 
kwani wapinzani sio watanzania?
 
Kwa fikra zako hizi basi hakuna mtu ambaye ni chadema. Waliopo chadema wote ukiondoa vijana below 30 walikuwa ccm ama vyama vingine.

Lisu, Msigwa, Mbowe, Lema, e.t.c unadhani wameanzia siasa chadema?
hakuna mtu ambaye kazaliwa kuanzia 1970 kurudi nyuma hajawahi kuwa ccm,acheni kudanganyana
 
hakuna mtu ambaye kazaliwa kuanzia 1970 kurudi nyuma hajawahi kuwa ccm,acheni kudanganyana
Kwahiyo umezitupilia mbali hoja zako mfu?

Ulileta hoja utopolo za Facebook nimezi-crash mpk umelegea.
 
unajidanganya sana,hao wote ni ccm,walikwenda upinzani kwa kazi maalum
Waitara alikua ccm akaenda chadema,utasemaje ni chadema huyo?
Dr Slaa alikua ccm akaenda chadema
Poleni nyie tanapa,kila siku kuchukua watu kutoka ccm kutegemea wawavushe
Mbona wewe unasaga lami hadi viatu vimepinda na huna mbele wala nyuma pamoja na kushinda sana lumumba?
 
Vijana wa lumumba hawana shida na vyeo, wapewe tu wapinzani.
 
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.

Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
Hawa wote walikua wapelelezi baada ya kugundua upinzani ni magumashi wamerudi nyumbani
 
Kwani lazima mzeekee Lumumba?
 
Naona mnatafuta namna ya kufitinisha wazalendo wa nchi hii....MAENDELEO ya kweli yanakuja kutoka CCM na ni ukweli usiopingika ina hazina kubwa ya Vijana kwa Tanzania ya leo,Kesho na baada ya Kesho.
 
Unatumia vibaya haki yako ya kutoa maoni .Yaani unavuka mipaka,tukisema tuwajibu mnakimbulia kwa mods eti "nipigwe ban" huo ni uzandiki na undezi. Haya wewe unafaidika nini na Ruzuku aliyovuta mbowe tar 27 Nov 2020??🤔
Kwani ni kweli wanalipa tuunge trela.
 
Naona mnatafuta namna ya kufitinisha wazalendo wa nchi hii....MAENDELEO ya kweli yanakuja kutoka CCM na ni ukweli usiopingika ina hazina kubwa ya Vijana kwa Tanzania ya leo,Kesho na baada ya Kesho.
Tupeni njia tupate kula sote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…