Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijaelewalakini wakiona kijana mwingine wanajua kupiga haraka speed za 'Formula 1'!"
Dar tuna mavijana ya hovyo hayajawahi kuwapisha wazee kwenye seat! Dar kuna mafundisho ya hovyo sana, siku moja niko kwenye mwendokasi kibinti kikajidai kuinama ili kasiwaone wazee! Wamama wakakatolea uvivu, si mama yake akaja juu! Nilishangaa sana!Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala, lakini wakiona kijana mwingine wanajua kupiga haraka speed za 'Formula 1'!"
🤗
Na wewe utafika tu!Wazee wanapenda sana kutia huruma
Dar sio sehemu ya kuwa mnyongeDar tuna mavijana ya hovyo hayajawahi luwapisha wazee kwenye seat! Dar kuna mafundisho ya hovyo sana, siku moja niko kwenye mwendokasi kibinti kikajidai kuinama ili kasiwaone wazee! Wamama wakakatolea uvivu, si mama take akaja juu! Nilishangaa sana!
kwahiyo wazee wakiwepo vijana hawawahi siti?Gombania goli kuwahi siti