Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala

Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala

Wanatafuta huruma. Asilimia kubwa huwa napanda gari stand. Unakuta gari limejaa ndo anaingia mzee,mjamzito au mama mwenye mtoto akitegemea watu watampisha,wakati huo huo unaona limekuja gari tupu yaan hata kujikurupusha ashuke apande hilo wala hana hilo wazo anakuja kuegamia ulipo
Kupanda gari tupu watachelewa safari so why wanaliwahi lililo jaa
 
Wazee wanakera, anaona kabisa basi limejaa..alafu anapanda akijua kuna mtu atampisha...ukinikuta mimi utasimama sana mzee
Ww kweli Huna Hekima...Pale Gerezan ikifika jioni Mzee anapataje siti...Subir na ww utazeeka tena ww miaka 45 kutembea hutaweza
 
Wanamakusud hao wazee anaona gari iko nyomi anapanda hivyo hivyo maana nini??
 
Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala, lakini wakiona kijana mwingine wanajua kupiga haraka speed za 'Formula 1'!"
🤗
Shida vijana wengi wa town wanahisi hawatazeeka watabaki vijana hvyohvyo maisha yote.
 
Back
Top Bottom