Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Na hao vijana walikua hawajalala ni uhuni tuu 😀Kuna siku kuna Bibi na mjuukuu wake kaingia pale stand ya Buguruni to Gongolamboto ,basi Daladala nzima vijana wamelala usingizi mzito kwa uchovu wa majukumu mbalimbali 😹😹,basi bibi akapishwa na bibi mwenzake