Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We na mwijaku wa ccm mbona mada zenu zina fananaVijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala, lakini wakiona kijana mwingine wanajua kupiga haraka speed za 'Formula 1'!"
🤗
🤣🤣🤣🤣Nilitaka niongee ujinga nikakumbuka wazazi wangu ni wazee
Ipo siku ambayo yote hayo ayasemayo, yatamrudia. Time will tell.Naww utazeeka 🤭
Na utanyanyasika mno 😀😀, kizazi kijacho ndo watakua balaaHuu uzi unanipa motisha ya kutafuta hela ninunue gari ili uzeeni nisipande daladala.
mm apo tu ndo ntakua kauzu sicheki na wowote🤣Wanatafuta huruma. Asilimia kubwa huwa napanda gari stand. Unakuta gari limejaa ndo anaingia mzee,mjamzito au mama mwenye mtoto akitegemea watu watampisha,wakati huo huo unaona limekuja gari tupu yaan hata kujikurupusha ashuke apande hilo wala hana hilo wazo anakuja kuegamia ulipo
Wamepigania uhuru na bado wanapigania kukalia siti kwenye mwendokasiPisha wazee mkuu walipigania uhuru wako
Kwa mara ya kwanza nimeona umeandika comment ndefu.Mie mmoja wapo japo sio kijana kivile ila kupisha siti kazi sana
Mbinu nzuri sana.Mimi huwa nikienda kwenye mikusanyiko ya watu mfano msibani, huwa najiwahi kukaa mfano kwenye msingi au tofali.
Kamwe sikalii kiti mana najua ntaona aibu kumpisha mzee. Nikikaa kwenye msingi hapo sina kosa, akija mzee nauchuna tu apambanie viti kwanza vilivyokaliwa na vijana.
Kuna siku nlipanda gari jamaa alikaa na mke wake wote ni vijana wa umri wa kati tu wapo na watoto wao wawili....jamaa kawalipia seat 2 wanae, tumefikia sehemu Kuna mzee mrefu kinoma alipanda sasa Ile gari ukiwa mrefu inabindi u-bend kidogo😁 mzee akataka kuwaondoa watoto kwenye seat palizuka ugomvi humo
Huyu ni mimi kabisa😁😁😁🙌Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala, lakini wakiona kijana mwingine wanajua kupiga haraka speed za 'Formula 1'!"
🤗
Na wewe pia utakua mzeeNilitaka niongee ujinga nikakumbuka wazazi wangu ni wazee
We unasema daladala kuna mzee alisimama kutoka igunga hadi nzega kuna mhaya mmoja aliwalipia siti mbili wanae wa miaka kati ya 6-10, mzee alitaka kuwabeba jamaa akakaza aloo 😒😒😒Kuna siku nlipanda gari jamaa alikaa na mke wake wote ni vijana wa umri wa kati tu wapo na watoto wao wawili....jamaa kawalipia seat 2 wanae, tumefikia sehemu Kuna mzee mrefu kinoma alipanda sasa Ile gari ukiwa mrefu inabindi u-bend kidogo😁 mzee akataka kuwaondoa watoto kwenye seat palizuka ugomvi humo