Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Kumbuka kuwa, hata wewe hautabaki kijana miaka yote.Wazee wanakera, anaona kabisa basi limejaa..alafu anapanda akijua kuna mtu atampisha...ukinikuta mimi utasimama sana mzee
Kwa changamoto za usafiri wa daladala za hapa Bongo huo ubavu wa mzee kusukumana na vijana kugombea kupata siti anautoa wapi?