Kupanda gari tupu watachelewa safari so why wanaliwahi lililo jaaWanatafuta huruma. Asilimia kubwa huwa napanda gari stand. Unakuta gari limejaa ndo anaingia mzee,mjamzito au mama mwenye mtoto akitegemea watu watampisha,wakati huo huo unaona limekuja gari tupu yaan hata kujikurupusha ashuke apande hilo wala hana hilo wazo anakuja kuegamia ulipo
Ww kweli Huna Hekima...Pale Gerezan ikifika jioni Mzee anapataje siti...Subir na ww utazeeka tena ww miaka 45 kutembea hutawezaWazee wanakera, anaona kabisa basi limejaa..alafu anapanda akijua kuna mtu atampisha...ukinikuta mimi utasimama sana mzee
Kupanda gari tupu watachelewa safari so why wanaliwahi lililo jaa
Ujue kwamba siyo kila siku utabakia kuwa kijana, na wewe yatakuja kukukutaWazee wanakera, anaona kabisa basi limejaa..alafu anapanda akijua kuna mtu atampisha...ukinikuta mimi utasimama sana mzee
Hamna adabu,juzi nilimburuza kwa nguvu kijana ili nikae,aliichuna tu!Wazee wanakera, anaona kabisa basi limejaa..alafu anapanda akijua kuna mtu atampisha...ukinikuta mimi utasimama sana mzee
Kwanini um buruze ..?, magari yenye nafasi hukuyaona..?Hamna adabu,juzi nilimburuza kwa nguvu kijana ili nikae,aliichuna tu!
UBAYA UBWELA.
Shida vijana wengi wa town wanahisi hawatazeeka watabaki vijana hvyohvyo maisha yote.Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala, lakini wakiona kijana mwingine wanajua kupiga haraka speed za 'Formula 1'!"
🤗