Vijana wa Hayati Magufuli ndio pekee wenye uwezo wa kumpambania Rais Samia

Vijana wa Hayati Magufuli ndio pekee wenye uwezo wa kumpambania Rais Samia

Timu Magufuli pamoja na mapungufu yao ya kibinadamu, lakini ndiwo wenye uwezo hata wakuaminika na Wananchi ama kwa kukemea ufisadi na mafisadi ama kuthubutu kwa uwazi kabisa kuwakemea Viongozi na Watumishi wazembe kwenye maeneo yao ya kazi.
Hamna lolote, mbona wamejazana bungeni ila hawajawahi pinga ufisadi? Jpm ndio katuletea vijana wa hovyo kabisa. We sema tu ccm kuna siasa za makundi ila kwamba kuna upande ulio competent ni uongo
 
Kwa hiyo akiwepo kiongozi wa mlengo wako hatotanua na shida za Wala hoi zitakoma?

..anaweza akatatua au asitatue shida za walalahoi.

..Na walalahoi wanapaswa kumkataa ktk sanduku la kura kiongozi aliyeshindwa kutatua shida zao.
 
Si vijana wake wangekufa nae. Hao ni wasaka tonge TU.
 
Pamoja na mapungufu yao, lakini ni wazi vijana wa Hayati Magufuli ndio pekee wenye uwezo wa kumpambania Samia ki siasa.

Timu Magufuli pamoja na mapungufu yao ya kibinadamu, lakini ndiwo wenye uwezo hata wakuaminika na Wananchi ama kwa kukemea ufisadi na mafisadi ama kuthubutu kwa uwazi kabisa kuwakemea Viongozi na Watumishi wazembe kwenye maeneo yao ya kazi.

Uthubutu wa hayo yote ulihisaniwa na baba yao ki Uongozi ambaye ni JPM. JPM aliwataka vijana wake wasiwe waoga pindi watakapo kuamua jambo. Aliwaeleza bayana ni heri wakosee kuamua kuliko kutokuamua!

JAMBO JEMA NI KUWA, HATA YEYE MWENYEWE SAMIA AMELIONA HILO NA HIVI KARIBUNI ATAENDELEA KUWAREJESHA UONGOZINI WACHAPA KAZI WALE HUKU AKICHAGUA MAZURI YAO NA KUYAACHA MAPUNGUFU YAO.

Heko kwako dada Samia kwa kung'amua hilo!
Hawa watamvusha mama wakipangwa vizuri:
Luhaga Mpina
Makonda
Sabaya
Happi
Chalamila
Dotto
Kaleman
Bashiru
Polepole
Msukuma
PM Majaliwa
Ndalichako
Tulia Ackson
nk.
 
Hamna lolote, mbona wamejazana bungeni ila hawajawahi pinga ufisadi? Jpm ndio katuletea vijana wa hovyo kabisa. We sema tu ccm kuna siasa za makundi ila kwamba kuna upande ulio competent ni uongo
💐🎁
 
Tatizo la CCM waliwatupa wazee waasisi wazee waliokishauri chama, wakakumbatia vijana. Sasa wanalazimisha vijana wawe wazee washauri wa chama. Vijana wanagombea upigaji.

Mliona bunge la chama kimoja, Wabunge dhidi ya Mawaziri walishambuliana haswa, ile haikuwa drama bali vita. Pale unapata picha ccm imebaki mabua.

Yani wana raruana kisawa sawa hakuna wa kuwa kanya, Majaliwa alikuwa bungeni siku hizi haogopwi tena, aliogopwa enzi za Magufuli lakini sasa unaona wanafahamu hana nguvu tena.

Kinana, anakifahamu chama vilivyo, kwa nafasi yake kaamua kuangalia tu, na kusubiria kuondoka bila lawama, na soon ataagwa.

Hao mnao waita vijana wa Magufili nao Chali, wakiitisha mkutano nao utasikia wanaomba suport ya Mama awepo, bila hivyo mahudhurio ya wananchi ni zero.

Mama anjipigania mwenyewe, hataki makundi lakini pia hawezi kusuluhisha maugomvi peke yake. Msoga naye anapwaya, hawezi kumsaidia zaidi ya kumshauri awapuuze tu aendelee kuchapa kazi.

Chama hakina mwenyewe, watakikabidhi kwa Polisi, na wakishindwa watapewa JWTZ.
 
Pamoja na mapungufu yao, lakini ni wazi vijana wa Hayati Magufuli ndio pekee wenye uwezo wa kumpambania Samia ki siasa.

Timu Magufuli pamoja na mapungufu yao ya kibinadamu, lakini ndiwo wenye uwezo hata wakuaminika na Wananchi ama kwa kukemea ufisadi na mafisadi ama kuthubutu kwa uwazi kabisa kuwakemea Viongozi na Watumishi wazembe kwenye maeneo yao ya kazi.

Uthubutu wa hayo yote ulihisaniwa na baba yao ki Uongozi ambaye ni JPM. JPM aliwataka vijana wake wasiwe waoga pindi watakapo kuamua jambo. Aliwaeleza bayana ni heri wakosee kuamua kuliko kutokuamua!

JAMBO JEMA NI KUWA, HATA YEYE MWENYEWE SAMIA AMELIONA HILO NA HIVI KARIBUNI ATAENDELEA KUWAREJESHA UONGOZINI WACHAPA KAZI WALE HUKU AKICHAGUA MAZURI YAO NA KUYAACHA MAPUNGUFU YAO.

Heko kwako dada Samia kwa kung'amua hilo!
Kama anautaka Urais wa kuendelea hadi 2030 nampa pole sana, awe makini kuvamia mipango ya watu ambayo yeye hakuwamo, atimize muda wake aondoke.

Uvamizi sio mzuri na mwisho wake ni mbaya sana. Akumbuke kuna watu walijitolea kupambana na Magufuli kwa jasho na damu.

Mapinduzi ya ahadi na usaliti ni maamuzi yake ajipange kwa yajayo.
 
Pamoja na mapungufu yao, lakini ni wazi vijana wa Hayati Magufuli ndio pekee wenye uwezo wa kumpambania Samia ki siasa.

Timu Magufuli pamoja na mapungufu yao ya kibinadamu, lakini ndiwo wenye uwezo hata wakuaminika na Wananchi ama kwa kukemea ufisadi na mafisadi ama kuthubutu kwa uwazi kabisa kuwakemea Viongozi na Watumishi wazembe kwenye maeneo yao ya kazi.

Uthubutu wa hayo yote ulihisaniwa na baba yao ki Uongozi ambaye ni JPM. JPM aliwataka vijana wake wasiwe waoga pindi watakapo kuamua jambo. Aliwaeleza bayana ni heri wakosee kuamua kuliko kutokuamua!

JAMBO JEMA NI KUWA, HATA YEYE MWENYEWE SAMIA AMELIONA HILO NA HIVI KARIBUNI ATAENDELEA KUWAREJESHA UONGOZINI WACHAPA KAZI WALE HUKU AKICHAGUA MAZURI YAO NA KUYAACHA MAPUNGUFU YAO.

Heko kwako dada Samia kwa kung'amua hilo!
Vijana wa jpm tunauchukia sana huu uongozi, umeturudisha nyuma sana hatua million , angekuepo jpm saiz tz ingekua Tokyo
 
mi nimeshangaa jana najikuta namtetea samia aisee uchawi upo msoga mpaka wakimbie
Kazi aliyofanya ya kutimua hao wezi tumpeni shime!

Kwa hilo,hata mimi kashusha sana hasira zangu juu yake.

Timing hii ya kisayansi katukonga sana roho zetu zilizofura, sijui nani kamfundisha mbinu hii!

Akiweza kumtimua Msingida kwa staili hiyo hiyo ya kuua nyani, mimi ataniwin sana na nitakosa la kusema juu yake.
 
Back
Top Bottom