Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndugu zangu nikiwa katika harakati za kununua vifaa kwa ajili ya tv yangu yaani Tv guard na Hd Tv cable 4k haya ndio yaliyonikuta.
Nikaenda moja kwa moja kwenye moja ya maduka yanauza tv, baada ya kufika pale nikauliza hivi vifaa wakaniambia vipo.
Tukaanza kubagain bei, tv guard wakanimbi 30,000 na Hd tv cable 20,000, nikatoa macho mbona bei kali hivyo? Jamaa akanikazia macho brothe hivi vitu ni og.
Nikasema hapana vyote nitawapa 25,000 Tukazozana pale bei mwisho siku tukakubaliana 30,000 kwa vyote, yaani tv guard kwa 20,000 na Hd tv cable kwa 10’000.
Wakaniambia brother lipia, nikawambia nipe kwanza bidhaa ndio nilipie, wakasema havipo hapa ngoja nifuate stoo, nikawambia tunaenda wote.
Hao tukaongozana cha ajabu tunazunguka tu stoo hatufiki, cha ajabu tena tunapita kwenye baadhi ya maduka kuulizia hizo bidhaa, kiujumla nikajua kinachoendelea kuwa kijana anatafuta ridhiki.
Nikamtahadharisha kuwa, nataka bidhaa yenyewe maana nimesha jua kuwa zile bidhaa walikuwa hawana ata ile ngoja nikachukue stoo ilikuwa nizugisha tu.
Basi tukafika kwenye moja ya duka akauliza akaambiwa zipo muuzaji akamtajia bei, nikastaajabu, guard tv 10,000 na Hd tv cable 8,000.
Kumbuka kule aliniambia vyote nitavipata kwa 50,000 na tukakubaliana kuwa nitampa vyote kwa 30,000 dah.😀😀
Kwa kuwa tulikuwa tumeshazunguka sana, nikaona siyo kesi nikampa ile tuliyokubalia awali kisha nikatabasam.
Nikaenda moja kwa moja kwenye moja ya maduka yanauza tv, baada ya kufika pale nikauliza hivi vifaa wakaniambia vipo.
Tukaanza kubagain bei, tv guard wakanimbi 30,000 na Hd tv cable 20,000, nikatoa macho mbona bei kali hivyo? Jamaa akanikazia macho brothe hivi vitu ni og.
Nikasema hapana vyote nitawapa 25,000 Tukazozana pale bei mwisho siku tukakubaliana 30,000 kwa vyote, yaani tv guard kwa 20,000 na Hd tv cable kwa 10’000.
Wakaniambia brother lipia, nikawambia nipe kwanza bidhaa ndio nilipie, wakasema havipo hapa ngoja nifuate stoo, nikawambia tunaenda wote.
Hao tukaongozana cha ajabu tunazunguka tu stoo hatufiki, cha ajabu tena tunapita kwenye baadhi ya maduka kuulizia hizo bidhaa, kiujumla nikajua kinachoendelea kuwa kijana anatafuta ridhiki.
Nikamtahadharisha kuwa, nataka bidhaa yenyewe maana nimesha jua kuwa zile bidhaa walikuwa hawana ata ile ngoja nikachukue stoo ilikuwa nizugisha tu.
Basi tukafika kwenye moja ya duka akauliza akaambiwa zipo muuzaji akamtajia bei, nikastaajabu, guard tv 10,000 na Hd tv cable 8,000.
Kumbuka kule aliniambia vyote nitavipata kwa 50,000 na tukakubaliana kuwa nitampa vyote kwa 30,000 dah.😀😀
Kwa kuwa tulikuwa tumeshazunguka sana, nikaona siyo kesi nikampa ile tuliyokubalia awali kisha nikatabasam.