KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Hudhani, lakini vijana wanasema jamaa haaminiki keshawadanganya mara kadhaa na hivyo wao wamefuta kabisa kumuamini.Madai mengine hayo sasa.
Sidhani kama rais anaweza kuwa mpuuzi kiasi hicho cha kudanganya ili after 21 days iwe operational!
Mhalifu tena?.... Katiba ipi hiyo hii hii iliyompa Urais?...Ruto ni mhalifu ambaye hakupaswa kuongoza nchi ya Kenya tena kwa katiba aliyoipinga.
exactly! demand yao amesalimu amri, sasa why gen z turn violent?Maana he was trusted sana before uchaguzi
Utulivu FHao wanataka kuangusha serikali tu,hakuna zaidi
Siku nyingine kama anakubali kitu akubali, kama anakataa akatae jumla.. Juzi ametoka akawafokea akaona hawajaogopa, ndio akaja kujifanya amewasikiliza.. kiongozi mwenye ndimi mbili hawezi aminika.exactly! demand yao amesalimu amri, sasa why gen z turn violent?
copy ya haya maandishi ibaki kwa chief hangayaWanataka serikali ibane matumizi yasiyo ya lazima, kuanzia safari za nje, bajeti ya hela za (confidential), kawaida na ujinga na uozo wote.
Wanataka rais akubali na atoe pole kwa wafiwa 20 plus waliouwawa.
Wanataka kodi zao na matumizi yake yaelezewe..
Ubabe na ujinga wa kunyamazisha vyombo vya habari ukome..
Wakati wa harakati za kutafuta katiba mpya ya Kenya mwaka 2010 Ruto ndiye alikuwa kiongozi wa upande wanaopinga Katiba mpyaMhalifu tena?.... Katiba ipi hiyo hii hii iliyompa Urais?...
Anyway..... Rutto kachaguliwa kikatiba na kihalali, wasiompenda wasubiri uchaguzi ujao
Nakubaliana na wewe kabisa. Vijana walikuwa sahihi kupinga hiyo kitu ha fedha. Si amesha withdraw bill na hakuisaini? sasa kuvamia bunge kunatoka wapi? wasiwasi wangu ni kuwa kusije kuwa na elements za hooliganism!Siku nyingine kama anakubali kitu akubali, kama anakataa akatae jumla.. Juzi ametoka akawafokea akaona hawajaogopa, ndio akaja kujifanya amewasikiliza.. kiongozi mwenye ndimi mbili hawezi aminika.
Toka mwanzo hii Bill walitaka kuipitisha kidictator na rushwa... kuna wabunge wamehongwa 2M ya Kenya, some of them wamevunjiwa makazi yao na waandamanaji, Wale vijana hawatanii.... wakitaka wawaue kila nyumba itakuwa na msiba.
Viongozi watumie busara kukiri kuwa walikosea, then warudishe muswada bungeni ukajadiliwe upya.
Wewe karai huwezi kuwaelewa1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?
Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
amesema tujadiliane kama member wa jumuia ni kipi hamuelewi enyi kizazi cha nyoka?Wewe ni nani kwenye siasa za Kenya???
Nimeipends hiiAkili za kitoto taabu sana hawawezi kuona kuwa Somalia iliharibiwa kwa akili za namna hii hii za hawa madogo wa Gen Z, watafika mahali kila mtaa utataka kuwa na serikali yake na uporaji unakuwa ndio sheria ya kila siku mtaani.
Wewe Baki na ujinga wako. Unajifanya una hasira na Wakenya wakati hata bajeti ya nchi yako hujui imepitishwa lini?.Wanavuta bangi wanadhani watu wote wana akili za kushinda mitandaoni na kuandika ujinga na wivu, wanaweza wakawa ni wengi lakini bado nchi hizi za afrika mashariki hazijafikia wakati wa kuongozwa na mihemko ya mitandaoni.
Hivi sasa watapigwa kweli kweli na hao wanajeshi , mwanzoni walionekana wana hoja na wanajeshi wakawa wakiwahurumia kwamba wanayo mantiki katika hicho wanachokifanya, lakini wanapoenda watapokea mkong'oto wa uhakika kutoka kwa hao hao waliowaachia wakafanya walichofanya.
Sio hivyo sasa hivi, Eldoret kwa Ruto wameandamana kwa maelfu.Wajaluo wanamtaka Raila full stop
Ukabila Kenya shida
Somalia iliharibiwa na Viongozi sio wananchi. Kasome historia. Na Kenya inataka kuharibiwa na Ruto.Akili za kitoto taabu sana hawawezi kuona kuwa Somalia iliharibiwa kwa akili za namna hii hii za hawa madogo wa Gen Z, watafika mahali kila mtaa utataka kuwa na serikali yake na uporaji unakuwa ndio sheria ya kila siku mtaani.
Sheria ya Bajeti. Yetu imepitishwa Jana na nadhani wengi hawajui Kama Jana tumepitisha finance bill ya Tanzania.Financial Bill ni nini jamani , inahusu nini na lengo lake nini ? 🤣🤣 Ngoja niulize maana kweli naona wanaandamana na hilo neno ndo Rejista inayotumika sana ! Ila sielewi
Kuuliza si ujinga ! Nisanueni