Vijana wa Kenya (Gen Z) sasa mnataka nini?

Mitandaoni wakati watu wapo barabarani? Wakenya sio waoga kama waTanzania hata bungeni zilikua zinapigwa risasi kabisa za AK 47 wakafa 20, ila watu zaidi ya elfu 5 wakavunja geti.

Huwezi kuua waandamanaji laki 5 zaidi utaua mamia na waliobaki watakuvamia. Hakunaga bunduki inayoshinda umma usio na cha kupoteza.
 
Watu wanaongelea bajeti wewe unaongelea wivu. Wivu ni personal bajeti ni national issue.
 
Mahakama ya juu ya kenya imebatilisha order ya askari jeshi kuwa deployed mtaani
 
Wajaluo wanamtaka Raila full stop

Ukabila Kenya shida
Wewe mjinga kweli. Gen Z hawakuwa na kiongozi Wala kabila ndio maana maana Eldoret ngome ya Ruto maandamano yalikuwa makubwa Sana mpaka kushusha mkokoteni wa UDA ulikuwa katikati ya mji. Pia Nyeri ngome ya Gachagua maandamano yalikuwepo. Usisahau maandamano ya Kiambu eneo la Githurai 45 ambako Wakikuyu wameshambuliwa na polisi. Kwa mara ya kwanza Wakenya wameweka ukabila pembeni wakawa na sauti moja.
 
Lakini kwa mwanasheria as long as Rais hajai sign, then all is Ok! Hakuna kitu hapo, the statu quo remains !

Step by step, amekataa kusain, then with time itafutwa as they demand. sasa kula wali bungeni inaashiria nini?
Mwenye mamlaka ya kuifuta ni bunge sio Rais. So bunge lisipokaa kufuta huo muswada kwa siku 14 inakuwa sheria moja kwa moja. Ni ujanja Ruto anataka kutumia ndio maana wananchi hawamwamini.
 
Madai mengine hayo sasa.

Sidhani kama rais anaweza kuwa mpuuzi kiasi hicho cha kudanganya ili after 21 days iwe operational!
Humjui Ruto, ni mzuri kwenye manipulation na utapeli. Juzi kawatukana waandamanaji, ila Jana kawaita watoto wetu. Leo jeshi limeingia mtaani. Ruto alifaa kwenye ugavana na Uwaziri sio kuwa Rais wa Nchi.
 
Uharinifu wa Mali ni moja ya matokeo wakati wa maandamano. Ni kama kucheza mpira waweza kuvunjwa miguu, ila lengo halikuwa kuvunjwa miguu Bali kucheza mpira.
 
There you are! ! Hapo ndipo GEN Z wamevuruga. Walikuwa katika msitari ulionyooka, lkn baada ya kuanza uharibifu, ndiyo nikapose thread hii! Wanataka nini? Rutto aondoke? aje nani?
Kwani wananchi wakitaka aondoke Kuna shida?. Wao si ndio wamechagua. Usilete mambo ya CCM Kenya, serikali ni ya wananchi sio kitu kimeshuka kutoka mawinguni.
 
Huko wanakoelekea sasa wanaharibu, rais kashawasikiliza madai yao na kawaambia watakaa chini kwa pamoja waseme wanataka wafanyaje kuhusu Kenya, lakini wao hawataki.!

Wataiharibu nchi yao ishindwe kukalika kwa mihemko yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…