Vijana wa Kiislamu hawaogopi ndoa kama Wakristo

Vijana wa Kiislamu hawaogopi ndoa kama Wakristo

La Quica

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
1,009
Reaction score
2,315
Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa Kikristo hawaoi kama wa Kiislam?

Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.

Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakini wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.

Je, chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?
 
Nadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.

Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.

Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.

Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.

Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
 
Buddy mtu anaweza kuoa mwanzo wa ramadhani halafu akaacha mwisho wa ramadhani huyo hana cha kupotezq tofauti na huyu wa mpka kifo
Marafiki zangu wengi hawaja divorce ni miaka kama minne hivi, wakristo gharama tatizo zinawaangusha na process NJ ndefu sijui fungate, sendoff hata Kwa bible havipo.

Labda wakristo wa vijijini
 
Ukifuata mafundisho ya dini ya kiislamu bila kuwaiga wachaga na wakristo basi swala la ndoa na msiba wala halina tatizo kila kijana au mzazi wako anaweza kulimudu.

Kwa sisi tulio mijini wachaga ndio wametuletea hii tabia mbovu swala la ndoa kuambatana na uharibifu mkubwa wa pesa kwenye sherehe.
 
Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa kikristo hawaoi kama wa kiislam?

Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.

Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakink wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.

Je chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?
Ndoa si suala la dini bali utashi wa mtu mradi wahusika wawe wana uwezo wa kuingia kwenye taasisi hii. Tumia akili japo kidogo kabla sijakushushia mitusi nipapigwa ban. Na kipindi hiki ikitokea nikapigwa ban naachana na ujinga wa wa hii forums ya kujifanya wao ndiyo wenye hati milki ya fikra. Kwani silipwi kushiriki. Shame on moderator. Ngoja nilikoroge ili nipate kuachana ujinga huu
 
Ndoa si suala la dini bali utashi wa mtu mradi wahusika wawe wana uwezo wa kuingia kwenye taasisi hii. Tumia akili japo kidogo kabla sijakushushia mitusi nipapigwa ban. Na kipindi hiki ikitokea nikapigwa ban naachana na ujinga wa wa hii forums ya kujifanya wao ndiyo wenye hati milki ya fikra. Kwani silipwi kushiriki. Shame on model. Ngoja nilikoroge ili nipate kuachana ujinga huu
Umevurugwa na nini? Au offer ya bia za bure? Kosa lake ni lipi?

Halafu model ndio kitu gani? Au ndio moderator?
 
Nadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.

Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.

Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.

Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.

Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom