La Quica
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 1,009
- 2,315
Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa Kikristo hawaoi kama wa Kiislam?
Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.
Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakini wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.
Je, chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?
Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.
Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakini wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.
Je, chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?